Polisi mmoja nchini kenya mwenye cheo cha OCS jana alihukumiwa kunyongwa hadi afe baada ya Mahakama kumpata na kosa la kuua kwa makusudi mtuhumiwa mmoja aitwae Martin Koome mnamo mwaka 2013 akiwa ndani ya sero.
Polisi huyo alimvunja mbavu mtuhumiwa huyo baada ya mateso makali na baadae alimtoboa kichwa kwa kutumia kitu chenye ncha na kama haitoshi alimzamisha kichwa kwenye pipa lenye maji na baada ya hapo akawafungulia watuhumiwa wengine walioshuhudia ili wasimshitaki na pia kumbambikia kosa hilo mmojawapo wa watuhumiwa!.
Hii ni kwa mujibu wa vyombo vya habari Kenya na BBC hapo jana.
Polisi huyo alimvunja mbavu mtuhumiwa huyo baada ya mateso makali na baadae alimtoboa kichwa kwa kutumia kitu chenye ncha na kama haitoshi alimzamisha kichwa kwenye pipa lenye maji na baada ya hapo akawafungulia watuhumiwa wengine walioshuhudia ili wasimshitaki na pia kumbambikia kosa hilo mmojawapo wa watuhumiwa!.
Hii ni kwa mujibu wa vyombo vya habari Kenya na BBC hapo jana.