Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
Habari za muda huu waungwana wa jamiiforums.
JUNE 23, 2021: Kamanda wa Polisi kanda Maalum ya DSM, ACP Muliro Jumanne Muliro ametangaza rasmi kuwa Mtu yeyote atakaetoa taarifa sahihi zitakazowezesha Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya DSM kumkamata Mhalifu akiwa na silaha mfano; bunduki atatoa zawadi papohapo ya Tsh. Milioni mbili na kuhakikisha siri za mtoa taaarifa zinatunzwa kwa kiwango cha juu na bila kuathiri mazingira ya usalama wake, zawadi hizo zitaanza kutolewa bila kuzungushwa ilimradi vigezo vilivyotajwa vizingatiwe.
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
JUNE 23, 2021: Kamanda wa Polisi kanda Maalum ya DSM, ACP Muliro Jumanne Muliro ametangaza rasmi kuwa Mtu yeyote atakaetoa taarifa sahihi zitakazowezesha Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya DSM kumkamata Mhalifu akiwa na silaha mfano; bunduki atatoa zawadi papohapo ya Tsh. Milioni mbili na kuhakikisha siri za mtoa taaarifa zinatunzwa kwa kiwango cha juu na bila kuathiri mazingira ya usalama wake, zawadi hizo zitaanza kutolewa bila kuzungushwa ilimradi vigezo vilivyotajwa vizingatiwe.
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.