DILI LIMEBUMA
Kosa la Gwajima tafadhali!!?Kwa hiyo polisi imeshindwa kumuita aliyesambaza ambaye Gwajima anadai anamjua.
So gwajima Yuko fiti kuliko polisi kiintelijensia.
Ila kama ni yeye gwajima kweli aswekwe ndani kabisa.
Ikiwa itathibitika Yule Jamaa ni yeye . Ni kosa Kujirekodi unafanya Ngono.Kosa la Gwajima tafadhali!!?
Kuzini, wakati anahubiria watu wasizini.....Kosa la Gwajima tafadhali!!?
kosa siyo kujirekodi, kosa ni kusambaza picha za ngono, na uzembe wa yeye kuacha video za hivyo vifike mikononi mwa mtu mwingine kama hakuzisambaza yeye.Ikiwa itathibitika Yule Jamaa ni yeye . Ni kosa Kujirekodi unafanya Ngono.
Kifungu gani cha sheria Mkuu.!Kuzini, wakati anahubiria watu wasizini.....
Issue sio Gwajima kabisa kwa sababu hizo picha ni Personal (private).Kwa hiyo polisi imeshindwa kumuita aliyesambaza ambaye Gwajima anadai anamjua.
So gwajima Yuko fiti kuliko polisi kiintelijensia.
Ila kama ni yeye gwajima kweli aswekwe ndani kabisa.
Kwa maelezo yake amekubali kuwa ni yeyeNi mwenyewe anabisha bure Wakati kila kitu kiko wazi
A Person shall not PUBLISH or Cause to be Published through a computer system or any other information....Issue sio Gwajima kabisa kwa sababu hizo picha ni Personal (private).
Shida na nani aliye fanya makosa kwa kusambaza picha hizo kwa jamii.
Hata kama ni picha za Gwajima (its private issue) nani kasambasa na kugfanya kosa la kimtandano?
Pili Defamational, Kumchafua mtu, mumdhalilisha mtu, Kuhalibu heshima ya mtu.
Ikiwa itathibitika Yule Jamaa ni yeye . Ni kosa Kujirekodi unafanya Ngono.