real G
JF-Expert Member
- Feb 7, 2013
- 5,227
- 5,287
Polisi kanda maalum ya DSM imefanikiwa kukamata watuhumiwa watatu walijihusisha na unyanga'anyi kwa kutumia silaha na mauji kwa kutumia ak47. Kati ya watuhumiwa hao alikuamo raia kutoka nchini Burundi mwenye mafunzo ya ukomandoo na alitumika kufanya mauji kadhaa jijini DSM
.
.