mweusi asili
JF-Expert Member
- Nov 11, 2014
- 2,035
- 3,349
Watu wakichoka ni Time Bomb
Pole, na JPM alivyoingia akaanza kutunyoosha tukamchukia, aliyepo ni mtalii, kusema wanawake walivyokomaa na kuamuliwa mambo na viongozi wa zamani, nakuuliza, je tunaye JPM mwingine njiani au?!Hii inaweza kuchukuliwa poa Kama tulivyozoea watanzania kuchukulia Mambo simple simple.
Hamza alivyowaua askari wetu na kuwapora siraha wapo waliosema ni kwasababu aliwashitukiza vinginevyo asingeweza. Mimi nikajiuliza, askari si anatakiwa awe tayari muda wote? Iweje wajitetee kwa kusema walishitukizwa?
Siku zote adui anakusubiri uzubae achukue point, hakupi taarifa ujiandae hivyo askari wetu walifanya uzembe hilo halipingiki katika medani za kijeshi
Leo vyombo mbalimbali vya habari vimeripoti mahabusu kule Mbagala wamempiga askari aliyekuwa lindo kisha wakavunja lango wakatoroka
Je, na hapa tusemeje? Wameshitukizwa tena!?
Kwa tathimini yangu ya "ki-lay man" nimekuja kufanya conclusion jumuishi ifuatayo kwa baadhi ya watu wanaofanya kazi sehemu mbalimbali serikalini na taasisi za umma:-
1. Wafanyakazi wengi katika taasisi hasa za serikali ni vijana ambao bado hawajawa 'matured" ki ueledi katika nafasi wanazozitumikia. Bado wanaendekeza "ujana unaendana na ubishoo" pasipo kuonyesha kuwa committed kwa wanachofanya
Hapa ni kote. Angalia baadhi ya madkatari na manesi kwenye hospital za umma, chunguza askari wetu hata wakiwa kwenye magari yao ya PT au lindo, tembelea taasisi za umma uona utakavyohudumiwa
2. Vijana wengi wanafanya kazi wasizopenda. Wanafanya ilimradi tu wapate mshahara ila hawajali kuhusu performance na ubora katika wanachofanya. Hii ni kwasababu ya ukosefu wa ajira hivyo fursa yoyote itakayokuja mbele yake ataomba bila kujali ataiweza, au anaipenda
3. Watanzania wengi ni wavivu hivyo tunapokuwa kwenye mazingira ya kazi zetu tunajali kumaliza twende tukapumzike. Yaani tunawaza kumaliza kazi wakati ndo tunaianza. Hii inamfanya mtu aelekeza akili yake kwenye muda wa kuondoka kuliko kile anachofanya
Nini kifanyike?
Tuwekeze zaidi kwa watoto wetu! Tuwafundishe kupenda kazi, kujali ubora wa kazi zao, kujituma na kujibidisha kwa wanachofanya. Ifike mahali mtoto asipofanya kitu katika ubora uliotarajia aumie na ionekane ameumizwa na kushindwa kufanya vizuri
Hali hii italeta uwajibikaji huko mbeleni.
Askari wameuawa na kunyang'anywa siraha kitu Cha hatari kabisa (hata Kama baadae walizipata ) hakuna aliyewajibika. Kwa maana hiyo tumeona sawa tu na tunasonga mbele
Leo mahabusu wamempiga askari, wamevunja lango wametoroka. Hakuna anayewajibika. Tunaona simple tu hadi viongozi wanasema "wametoroka wenye makosa madogo madogo".
Umeme unaweza kukatika mtaani tukakaa giza hata wiki nzima na hakuna anayewajibika wala kujali
Maji yanaweza kukatika mtaani zaidi ya wiki na watu wasijali na wakachukulia poa tu. Yaani wafanyakazi wa idara husika hawajali wateja wao kukosa huduma na wananchi nao pia hawajali kukosa huduma yao ya msingi
Kwa utamaduni huu tutaifikisha Tanzania kwenye maendeleo ya kweli!?
Mkuu,hongera. Hii ni kweli,maeneo mengi ni vuruvuru. Kubwa ambalo umelisahau ni ajira za upendeleo,undugu,ukabila nk. Mtu hafanyi kazi ipasavyo kwa vile hata akikosea ana wa kumtetea. Nafasi za ajira zikitoka,peleleza wanaopatà zile nafasi na mahusiano yao na vigogo waliopo sekta hiyo!!Hii inaweza kuchukuliwa poa Kama tulivyozoea watanzania kuchukulia Mambo simple simple.
Hamza alivyowaua askari wetu na kuwapora siraha wapo waliosema ni kwasababu aliwashitukiza vinginevyo asingeweza. Mimi nikajiuliza, askari si anatakiwa awe tayari muda wote? Iweje wajitetee kwa kusema walishitukizwa?
Siku zote adui anakusubiri uzubae achukue point, hakupi taarifa ujiandae hivyo askari wetu walifanya uzembe hilo halipingiki katika medani za kijeshi
Leo vyombo mbalimbali vya habari vimeripoti mahabusu kule Mbagala wamempiga askari aliyekuwa lindo kisha wakavunja lango wakatoroka
Je, na hapa tusemeje? Wameshitukizwa tena!?
Kwa tathimini yangu ya "ki-lay man" nimekuja kufanya conclusion jumuishi ifuatayo kwa baadhi ya watu wanaofanya kazi sehemu mbalimbali serikalini na taasisi za umma:-
1. Wafanyakazi wengi katika taasisi hasa za serikali ni vijana ambao bado hawajawa 'matured" ki ueledi katika nafasi wanazozitumikia. Bado wanaendekeza "ujana unaendana na ubishoo" pasipo kuonyesha kuwa committed kwa wanachofanya
Hapa ni kote. Angalia baadhi ya madkatari na manesi kwenye hospital za umma, chunguza askari wetu hata wakiwa kwenye magari yao ya PT au lindo, tembelea taasisi za umma uona utakavyohudumiwa
2. Vijana wengi wanafanya kazi wasizopenda. Wanafanya ilimradi tu wapate mshahara ila hawajali kuhusu performance na ubora katika wanachofanya. Hii ni kwasababu ya ukosefu wa ajira hivyo fursa yoyote itakayokuja mbele yake ataomba bila kujali ataiweza, au anaipenda
3. Watanzania wengi ni wavivu hivyo tunapokuwa kwenye mazingira ya kazi zetu tunajali kumaliza twende tukapumzike. Yaani tunawaza kumaliza kazi wakati ndo tunaianza. Hii inamfanya mtu aelekeza akili yake kwenye muda wa kuondoka kuliko kile anachofanya
Nini kifanyike?
Tuwekeze zaidi kwa watoto wetu! Tuwafundishe kupenda kazi, kujali ubora wa kazi zao, kujituma na kujibidisha kwa wanachofanya. Ifike mahali mtoto asipofanya kitu katika ubora uliotarajia aumie na ionekane ameumizwa na kushindwa kufanya vizuri
Hali hii italeta uwajibikaji huko mbeleni.
Askari wameuawa na kunyang'anywa siraha kitu Cha hatari kabisa (hata Kama baadae walizipata ) hakuna aliyewajibika. Kwa maana hiyo tumeona sawa tu na tunasonga mbele
Leo mahabusu wamempiga askari, wamevunja lango wametoroka. Hakuna anayewajibika. Tunaona simple tu hadi viongozi wanasema "wametoroka wenye makosa madogo madogo".
Umeme unaweza kukatika mtaani tukakaa giza hata wiki nzima na hakuna anayewajibika wala kujali
Maji yanaweza kukatika mtaani zaidi ya wiki na watu wasijali na wakachukulia poa tu. Yaani wafanyakazi wa idara husika hawajali wateja wao kukosa huduma na wananchi nao pia hawajali kukosa huduma yao ya msingi
Kwa utamaduni huu tutaifikisha Tanzania kwenye maendeleo ya kweli!?
WAtu mna mambo!!!Ametoa "plesi lilisi" anasema uzaaji wetu uchunguzwe laa sivyo anahama nchi.
NIMECHEKA KWA HERUFI KUBWA KUBWA TUPU!Ametoa "plesi lilisi" anasema uzaaji wetu uchunguzwe laa sivyo anahama nchi.
Halafu waliompiga Ni wale wahalifu wadogo wadogo yaani mateja.May be, unapigwaje watu wakiwa bado wamo lock up?
Mi naona tusizae watoto hovyo hovyo Kama hao polisi wanaopigwa na mahabusu watakuja kuuza nchi. Mahabusu inaonekana wako smart wanafaa kuzaliwa wengi waikomboe nchiusijikite kulaumu polisi,chamsingi fata ushauri wa Sirro usizae watoto wa hovyo hovyo kama hao mahabusu wa mbagala.
Soma vizuri kwanza, kuhusu ujana nimeongelea general sio katika issue ya MbagalaUmejuaje kwamba huyo Askari alikua kijana..au ndo unaleta youth-phobia.