Kawaida huwa nawafananisha na mbwa kwani mbwa akiambiwa kamata anafata amri na si kushughulisha akili yakeWho lied to you?
Dhambi ya uonevu ni mbaya sana, yaweza kusababisha maangamizo hata ya wasio na hatia.
Polisi wanapaswa wawe makini sana kushughulika na Raia. Katika kutekeleza majukumu yao waepuke kabisa kuonea Raia. Maana mnyonge akisema basi, huwezi kumdhibiti hata ufanyeje.