vantz
JF-Expert Member
- Apr 22, 2016
- 1,107
- 567
Wee nawe chizi mwenziejanja nyani wamejua mahakamani watashindwa wameamua kumpa uchizi ili kumaliza mgogoro.
eti anajenga chuki kwa dini nyingine, si kweli zenyewe ndo zimejenga chuki kwake kuona yale yanayofanywa kwa siri yanawekwa hadharani.
ko kunywa bia ni maadili ya hovyo (viwanda vifungwe sasa), kumtafuna msaidizi wa kazi kuna ubaya gani ikiwa una muhudumia na ameridhia.
Mwachieni aje kutupa neno wakuu.