Kaisari
JF-Expert Member
- Nov 13, 2012
- 3,637
- 3,035
Sugu ndiyo kakamatwaNimekuja spidi kuona mizinga na vifaru kumbe bunduki hatari sana
Sugu ndiyo kakamatwaNimekuja spidi kuona mizinga na vifaru kumbe bunduki hatari sana
Polisi Dar yakamata silaha nzito za kivita sijui ulisoma hapo mkuu?? amesema silaha za kivita kwa maana ni silaha zaidi ya moja ni bora angeandika silaha ya kivitaKwani hyo ni silaha ya kuwindia au
Ndiyo uje sasa ila ujipange kama ulikariri CCP hukuelewa basi usije maana utaaibikaNafikiri unajua mengi utatufaa sana
Mzee Said Omary ni mganga wa jadi? Maana wengi kabla ya matukio lazima wakarogePolisi Dar imekamata silaha aina ya AK 47 na watuhumiwa wawili nyumbani kwa mzee Said Omary (62) baada ya kupata taarifa kuwa kuna wahalifu wanataka kufanya tukio la wizi wa kutumia silaha.
Polisi Dar imekamata watuhumiwa 2 wa wizi wa magari. Wamekutwa na radio call, kadi 10 za benki mbalimbali, leseni za udereva, master keys 15. Baada ya kuhojiwa walikiri makosa na kuonesha magari mawili na pikipiki moja vinavyodhaniwa kuwa ni vya wizi.
Waliokamatwa kuhusiana na tukio hilo ni Ali Makwaya wa eneo la Tandale, Fredrick Odhiambo wa Tandale pia
Watuhumiwa 8 wamekamatwa kwa uhalifu jijini Dar pia na vielelezo mbalimbali
Watu 2 walikamatwa eneo la sheli ya Big Bon Kariakoo kwa wizi wa magari na wizi benki kwa kutumia master card na master keys
Walikutwa na radio call, leseni za udereva, funguo malaya na vielelezo vingine
Watuhumiwa hao walikiri kuhusika na wizi na kuonyesha magari mawili
Pia watu 6 wamekamatwa na vielelezo mbalimbali ikiwemo radio na sabufa
Pia mtuhumiwa mmoja anayefahmika kama mister K kwatuhuma za matukio mbalimbali, moja ikiwa ni kutishia kwa kutumia bastola mlizi na kuiba vitu mbalimbali kama Tv na fedha
Mkuu zaweza kudhuru hata wewe. Tafuta boss wao umpe habari kamiliHizo AK 47 zipo nyingi sana huku mtaani ila police hamuaminiki
silaha za kivita ,ndo hiyo Ak 47 tuu mkuu au kuna vifaru na vingine??
Acha tu inidhuru heri nusu shari kuliko shari kamiliMkuu zaweza kudhuru hata wewe. Tafuta boss wao umpe habari kamili