Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limezua Mkutano wa Hadhara wa Mbunge wa Kibamba John Mnyika na Wananchi wake, Uliokuwa ufanyike leo Feb 8, 2020 kata ya Mbezi njee kidogo na Jiji la Dar es salaam.
Polisi wamedai kuwa eneo la stendi ya zamani ulipotakiwa kufanyika mkutano huo kuna ujenzi wa barabara unaendelea.
Polisi wamedai kuwa eneo la stendi ya zamani ulipotakiwa kufanyika mkutano huo kuna ujenzi wa barabara unaendelea.
Jana Polisi Wamezuia mkutano wa hadhara wa Mbunge wa #Kibamba na wananchi uliokuwa ufanyike leo 08/02/2020 kata ya #Mbezi, kwa kisingizio cha uongo kuwa eneo la stendi ya zamani tulipotaka kufanyia mkutano kuna ujenzi wa barabara unaendelea.