miyohoni ni sehemu iliyo juu kidogo kutoka kwenye kiungo chako cha kukaliaMihoyoni ndio mitaa ipi hapo jimboni Kibamba ?
Hata ungekuwa wa CCM ungeruhusiwa.Tuombe waruhusu Binge Live ili POLCE wawe wanasikia majibu ya Serikali wanapoulizwa kuhusu kuzuiliwa kwa mikutano ya hadhara/kisiasa.
Ki msingi maccm yalishakata tamaa ya kwenda mbinguni ndio maana wanafanya mambo ya ajabu ajabu kama wanga.Mbinguni hawataenda amesema mheshimiwa rais
Kati ya taasisi za hovyo kabisa tulizo nazo, ni hili Jeshi letu. Hawajitambui wala kujielewa.Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limezua Mkutano wa Hadhara wa Mbunge wa Kibamba John Mnyika na Wananchi wake, Uliokuwa ufanyike leo Feb 8, 2020 kata ya Mbezi njee kidogo na Jiji la Dar es salaam.
Polisi wamedai kuwa eneo la stendi ya zamani ulipotakiwa kufanyika mkutano huo kuna ujenzi wa barabara unaendelea.
#MTZ
Hiyo inaitwa idara ya police. Igp Ni mkuu wa idara kama alivyo mganga mkuu wa serikaliKati ya taasisi za hovyo kabisa tulizo nazo, ni hili Jeehi letu. Hawajitambui wala kujielewa.
Ni kweli kukiwa na milipuko mitano ya ukweli kwenye mikutano ya ccm yenye kuuwa watu let say 200 tu. Hawatakusanyika na wao.Kama vyama vingine haviwezi kufanya mikutano, na CCM wasifanye mikutano. Hili ndiyo liwe azimio letu wote.
wampangie kwani kabla ya hapo walimpangia?Sasa kwa nini wasingempangia sehemu nyingine au ni mwendelezo wa amri kutoka mbinguni
Ila kiongozi wao akiwa mbele ya Watanzania kama vile anachungu na anataka watu wake waende kwenye uzimaKi msingi maccm yalishakata tamaa ya kwenda mbinguni ndio maana wanafanya mambo ya ajabu ajabu kama wanga.
Huyo jamaa ni mnafkiIla kiongozi wao akiwa mbele ya Watanzania kama vile anachungu na anataka watu wake waende kwenye uzima
Ikiwa ni mapenzi ya pesa kuna vitu viwiliKwenye mapenzi kuna vitu viwili
. mapenzi ya mahaba
. mapenzi ya pesa
Jr
Police au ccmJeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limezua Mkutano wa Hadhara wa Mbunge wa Kibamba John Mnyika na Wananchi wake, Uliokuwa ufanyike leo Feb 8, 2020 kata ya Mbezi njee kidogo na Jiji la Dar es salaam.
Polisi wamedai kuwa eneo la stendi ya zamani ulipotakiwa kufanyika mkutano huo kuna ujenzi wa barabara unaendelea.
#MTZ