Visa vya wanaume kufia guest wakiwa na "*viruka njia" wao vimekuwa vingi sana siku hizi.
Wengi wanahusisha vifo hivi na kuzidiwa kwa mwanaume na dozi bab kubwa ya 6 kwa 6 anayopewa na mdada. Inaweza kuwa kweli lkn siyo mara zote.
Nimewahi kupewa stori kuwa kuna mbinu inafanywa na wadada wahuni siku hizi ili kujipatia kipato. Naomba polisi wafanye uchunguzi wa kina ktk hili.
Kwamba, mwanaume anapokuwa kampata mdada (Kiruka Njia) kwa ajili ya kustarehe naye, huwa wakati mwingine anapofushwa ama na penzi au na kilevi alichotumia na kujikuta akitoa Siri ya pesa alizo nazo. Hapa ndiyo huwa chanzo cha kifo cha wengi.
Mara moja dada huyu mhuni ataenda bafuni na kujipakaza sumu kwenye titi lake kisha kumpa mwanaume alinyonye wakiwa kwenye 6 kwa 6. Mwanaume akinyonya tu anakuwa kajitafutia umauti mwenyewe kwa kufa taratibu. Halafu pesa yake yote inabebwa.
WITO: Bakini njia kuu. Tamaa inaua.
N.B: Kiruka njia ni mdada anayetongozwa maeneo ya starehe ama njiani kwenye vyombo vya usafiri kisha kukubali kutoa mzigo muda huo huo.
Wengi wanahusisha vifo hivi na kuzidiwa kwa mwanaume na dozi bab kubwa ya 6 kwa 6 anayopewa na mdada. Inaweza kuwa kweli lkn siyo mara zote.
Nimewahi kupewa stori kuwa kuna mbinu inafanywa na wadada wahuni siku hizi ili kujipatia kipato. Naomba polisi wafanye uchunguzi wa kina ktk hili.
Kwamba, mwanaume anapokuwa kampata mdada (Kiruka Njia) kwa ajili ya kustarehe naye, huwa wakati mwingine anapofushwa ama na penzi au na kilevi alichotumia na kujikuta akitoa Siri ya pesa alizo nazo. Hapa ndiyo huwa chanzo cha kifo cha wengi.
Mara moja dada huyu mhuni ataenda bafuni na kujipakaza sumu kwenye titi lake kisha kumpa mwanaume alinyonye wakiwa kwenye 6 kwa 6. Mwanaume akinyonya tu anakuwa kajitafutia umauti mwenyewe kwa kufa taratibu. Halafu pesa yake yote inabebwa.
WITO: Bakini njia kuu. Tamaa inaua.
N.B: Kiruka njia ni mdada anayetongozwa maeneo ya starehe ama njiani kwenye vyombo vya usafiri kisha kukubali kutoa mzigo muda huo huo.