Polisi: Bastola ya Nape Nnauye iliyoibwa nyumbani kwake Kawe Beach imepatikana mkoani Mbeya

Nape naye anamiliki bastola ya nini huyo checkbob? Mbona siku Ile Yule muhuni wa kundi la jiwe na bashite la watu wasiojulikana kamtolea bastola na hakujibu mapigo?
 
Yaani imeibiwa kwa kupitia dirishani.
Ina maana alikuwa kaiweka mezani au.
Huu ni uzembe wa hali ha juu hivi alieiiba angeamua kumapusua nayo si angemaliza?na kingine Nape ni pono kiasi hicho kumbe?
 
Yaani imeibiwa kwa kupitia dirishani.
Ina maana alikuwa kaiweka mezani au.
Huu ni uzembe wa hali ha juu hivi alieiiba angeamua kumapusua nayo si angemaliza?na kingine Nape ni pono kiasi hicho kumbe?
Labda aliiweka kwenye mfuko wa suruali!
 
Kuna watu ni wazembe aisee! Yaani silaha unaiweka sehemu ya wazi, tena dirishani kiasi cha mwizi kuichukua tu kwa urahisi na kutembea nayo!!

Halafu huyu Nape si ni Mbunge wa Mtama huyu!! Sasa huko Kawe kwa Halima Mdee anafanya nini tena!! Badala ya kurudi Jimboni kwake! yeye anakula tu bata Mjini!!!
Kumbe Magufuli hakukosea kabisa kumtumbua, he was right, imagine hiyo ni silaha anayoimiliki yeye, je atakuwa na uchungu na maisha ya mwananchi mlalahoi!!!
 
Kuna watu ni wazembe aisee! Yaani silaha unaiweka sehemu ya wazi, tena dirishani kiasi cha mwizi kuichukua tu kwa urahisi na kutembea nayo!!

Halafu huyu Nape si ni Mbunge wa Mtama huyu!! Sasa huko Kawe kwa Halima Mdee anafanya nini tena!! Badala ya kurudi Jimboni kwake! yeye anakula tu bata Mjini!!!
Aliibiwa akiwa kwa demu, ataibiwaje nyumba ina fensi pamoja na ulinzi? alileweshwa dawa na damu silaha ikaenda
 
Bongo watu sio violent hata mwenye bastola akikabwa anajiuliza Kwanza hawa wanataka kunikaba huku akiendelea kujiuliza anakabwa kweli huku akiwa na siraha...ngoja niendelee kutengeneza picha Kama kweli siraha iliibiwa dirishani...
Nimeshangaa sana, kusikia Siraha inaibiwa kupitia dirishani, hayo ni maajabu 😀😀😀. Anaweka mkuu wa bata kizembe sana dah
 
Nimeshangaa sana, kusikia Siraha inaibiwa kupitia dirishani, hayo ni maajabu . Anaweka mkuu wa bata kizembe sana dah
Watanzania wengi wanapenda kumiliki silahaa si kwa kujilinda,ila kwa ajili ya show off tu, silahaa ni kitu Cha hatari sana unatakiwa uwenacho makini sana,maana silahaa yako hiyo hiyo inaweza ikakutoa uhai ukiwa mzembe!!
 
Watanzania wengi wanapenda kumiliki silahaa si kwa kujilinda,ila kwa ajili ya show off tu, silahaa ni kitu Cha hatari sana unatakiwa uwenacho makini sana,maana silahaa yako hiyo hiyo inaweza ikakutoa uhai ukiwa mzembe!!
Mtu hadi anachukua mguu wa kuku dirishani kuna uzembe flani alifanya, na ambao ni hatari
 
Polisi kanda maalumu ya Dar es Salaam imesema silaha ya mbunge wa Mtama mkoani Lindi iliyoibiwa kupitia dirishani nyumbani kwake Kawe beach jijini Dar es salaam imepatikana.

Silaha hiyo aina ya bastola ikiwa na risasi 14 imepatikana mkoani Mbeya baada ya ushirikiano wa polisi wa mikoa hiyo miwili na mtu mmoja anashikiliwa kuhusiana na tukio hilo.

Chanzo: Ayo tv

Maendeleo hayana vyama!
Kama ni kweli hiyo silaha iliibiwa kupitia dirishani, huo ni uzembe usiovumilika. Na Kama Jeshi la Polisi litaamua kulikazia suala hili huyo mmiliki wa bastola anapaswa kunyang'anywa hiyo silaha maana ameshindwa kuitunza/ kuimiliki.
 
Yote hiyoni kudivert attention kuhusu Kirusi kuondoka watu wa koridoni kwa mfalme
 
Back
Top Bottom