Wazee wa matangazo ya vifo.Waulize Ufipa bwashee!
Polisi ndio wanaielewa!Hii habari haieleweki kabisa
Labda aliiweka kwenye mfuko wa suruali!Yaani imeibiwa kwa kupitia dirishani.
Ina maana alikuwa kaiweka mezani au.
Huu ni uzembe wa hali ha juu hivi alieiiba angeamua kumapusua nayo si angemaliza?na kingine Nape ni pono kiasi hicho kumbe?
Kumbe Magufuli hakukosea kabisa kumtumbua, he was right, imagine hiyo ni silaha anayoimiliki yeye, je atakuwa na uchungu na maisha ya mwananchi mlalahoi!!!Kuna watu ni wazembe aisee! Yaani silaha unaiweka sehemu ya wazi, tena dirishani kiasi cha mwizi kuichukua tu kwa urahisi na kutembea nayo!!
Halafu huyu Nape si ni Mbunge wa Mtama huyu!! Sasa huko Kawe kwa Halima Mdee anafanya nini tena!! Badala ya kurudi Jimboni kwake! yeye anakula tu bata Mjini!!!
Aliibiwa akiwa kwa demu, ataibiwaje nyumba ina fensi pamoja na ulinzi? alileweshwa dawa na damu silaha ikaendaKuna watu ni wazembe aisee! Yaani silaha unaiweka sehemu ya wazi, tena dirishani kiasi cha mwizi kuichukua tu kwa urahisi na kutembea nayo!!
Halafu huyu Nape si ni Mbunge wa Mtama huyu!! Sasa huko Kawe kwa Halima Mdee anafanya nini tena!! Badala ya kurudi Jimboni kwake! yeye anakula tu bata Mjini!!!
Nimeshangaa sana, kusikia Siraha inaibiwa kupitia dirishani, hayo ni maajabu 😀😀😀. Anaweka mkuu wa bata kizembe sana dahBongo watu sio violent hata mwenye bastola akikabwa anajiuliza Kwanza hawa wanataka kunikaba huku akiendelea kujiuliza anakabwa kweli huku akiwa na siraha...ngoja niendelee kutengeneza picha Kama kweli siraha iliibiwa dirishani...
Watanzania wengi wanapenda kumiliki silahaa si kwa kujilinda,ila kwa ajili ya show off tu, silahaa ni kitu Cha hatari sana unatakiwa uwenacho makini sana,maana silahaa yako hiyo hiyo inaweza ikakutoa uhai ukiwa mzembe!!Nimeshangaa sana, kusikia Siraha inaibiwa kupitia dirishani, hayo ni maajabu . Anaweka mkuu wa bata kizembe sana dah
Mtu hadi anachukua mguu wa kuku dirishani kuna uzembe flani alifanya, na ambao ni hatariWatanzania wengi wanapenda kumiliki silahaa si kwa kujilinda,ila kwa ajili ya show off tu, silahaa ni kitu Cha hatari sana unatakiwa uwenacho makini sana,maana silahaa yako hiyo hiyo inaweza ikakutoa uhai ukiwa mzembe!!
Kama ni kweli hiyo silaha iliibiwa kupitia dirishani, huo ni uzembe usiovumilika. Na Kama Jeshi la Polisi litaamua kulikazia suala hili huyo mmiliki wa bastola anapaswa kunyang'anywa hiyo silaha maana ameshindwa kuitunza/ kuimiliki.Polisi kanda maalumu ya Dar es Salaam imesema silaha ya mbunge wa Mtama mkoani Lindi iliyoibiwa kupitia dirishani nyumbani kwake Kawe beach jijini Dar es salaam imepatikana.
Silaha hiyo aina ya bastola ikiwa na risasi 14 imepatikana mkoani Mbeya baada ya ushirikiano wa polisi wa mikoa hiyo miwili na mtu mmoja anashikiliwa kuhusiana na tukio hilo.
Chanzo: Ayo tv
Maendeleo hayana vyama!
Kwani Nape bado ni maarufu!Yote hiyoni kudivert attention kuhusu Kirusi kuondoka watu wa koridoni kwa mfalme