Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Wanandugu tukiwamitaa ya himo tumeanza kuona matendo machafu ya jeshi lletu
mh mwema tunaomba fwatilia hili,kuna ujambazi umefanyika mwezi mmoja uliopita,mmoja wa waliouwawa alikuwa polisi walipofika olisi na kumkuta mwenzao wakamchukua na kumpeleka kwa ndugu zao huku wengine wakipelekwa mawenzi,baada ya hapo jeshi lapoilisi lilienda na kutoa mchango wao na kuomba wamzike mapema wawezavyo,
sasa haya mambo tutafika mh mwema;??
mh mwema tunaomba fwatilia hili,kuna ujambazi umefanyika mwezi mmoja uliopita,mmoja wa waliouwawa alikuwa polisi walipofika olisi na kumkuta mwenzao wakamchukua na kumpeleka kwa ndugu zao huku wengine wakipelekwa mawenzi,baada ya hapo jeshi lapoilisi lilienda na kutoa mchango wao na kuomba wamzike mapema wawezavyo,
sasa haya mambo tutafika mh mwema;??