Polisi Arusha waua wawili wakidai ni majambazi

Mauaji ya majambazi kwa nini yasiidhinishwe na bunge ili kuwakolea polisi muda wa kurudia maneno haya

"Tuliandaa mtego na kumuachia kuonyesha wenzake lakini alianza kukimbia eneo la kwa Idd na kutoa ishara kuwa kuna polisi eneo hilo ndipo wenzake walianza kufyatua risasi na wawili waliuawa na wengine kutoweka"
 
Mashuhuda wa hilo tukio wanasemaje? tusisikilize habari za upande mmoja pekee hazitoshi kuamua kesi kwa haki.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom