Bei wanapanga dealerz bei itapanda mwezi huu kurudi kama awali ndio tunaombea,frisby wanadai alikua anasafirisha mawe kwa kificho.RMO aliiba dola wakt wanamsachi camera zimemuonaUnajua kwenye gemstone utake uwaweke wanunuzi sehemu moja ni ngumu sana
Kwanza gemstone haina controlled price
Na kila mnunuz Ana nunua kwa siri yake
Dhahabu ndy Ina bei inayotambulika kote
Ila dah Kaz Kweli Kweli
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Serikali imejaa majizi na wala ruhwa, halafu akili ndogo. Kwa akili yake mfanyabiashara kama friby angekosa kamera kweli?1 Acha yaumbuke tu.Bei wanapanga dealerz bei itapanda mwezi huu kurudi kama awali ndio tunaombea,frisby wanadai alikua anasafirisha mawe kwa kificho.RMO aliiba dola wakt wanamsachi camera zimemuona
Sent using Jamii Forums mobile app
RMO tena Wana njaaa mbalaaaaBei wanapanga dealerz bei itapanda mwezi huu kurudi kama awali ndio tunaombea,frisby wanadai alikua anasafirisha mawe kwa kificho.RMO aliiba dola wakt wanamsachi camera zimemuona
Sent using Jamii Forums mobile app