Askari naye ni binadamu kama wengine anahitaji kuliwazwa kama hivi, amejikuta akipoteza uelekeo wa kazi yake baada ya burudani kuzidi, ingewezekanaje asiwe na magwanda wakati alienda pale kulinda raia na mali zao? Kama angerudi home kubadilisha magwanda, hiyo opportunity inawezekana asingeipata tena!
Weeeee; unaona anavyo chekeleeea??? Mpango anao saaaana!!!! Anajifanya kuangalia mbele lakini akili yote iko hapo down...Haya mambo hayana mwenyewe jamani!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.