Kireka1980
JF-Expert Member
- Mar 18, 2008
- 302
- 43
Jumatatu maeneo ya Siha huko Moshi kuna polisi alijeruhiwa vibaya na jambazi. polisi alikuwa na bunduki SMG yenye risasi 29 na jambazi alikuwa na kisu. Cha kushangaza jambazi alimchoma kisu polisi na kutaka kumnyang'anya silawa.
nanukuu maelezo ya kamanda wa polisi mkoa kama nilivyosoma magazeti ya jana: 'Kamanda huyo wa polisi alisema, hata baada ya jambazi hilo kumjeruhi vibaya Sajenti Gaston bado aliweza kuhimili mikiki mikiki ya kuihifadhi silaha yake hiyo aina ya SMG, jambo lililosababisha jambazi hilo lijikute likitokomea na magazini yenye risasi'.
Kwa maoni yangu huyu polisi (Sajenti Gaston) ni mzembe!!!!!!!!!
Wadau mnaizungumziaje hii
nanukuu maelezo ya kamanda wa polisi mkoa kama nilivyosoma magazeti ya jana: 'Kamanda huyo wa polisi alisema, hata baada ya jambazi hilo kumjeruhi vibaya Sajenti Gaston bado aliweza kuhimili mikiki mikiki ya kuihifadhi silaha yake hiyo aina ya SMG, jambo lililosababisha jambazi hilo lijikute likitokomea na magazini yenye risasi'.
Kwa maoni yangu huyu polisi (Sajenti Gaston) ni mzembe!!!!!!!!!
Wadau mnaizungumziaje hii