Songambele
JF-Expert Member
- Nov 20, 2007
- 4,695
- 2,553
Hii ndondo jamani ilikuwa ya maana sana W engine tusingemcharge hata mia.
Jamaa kala 2M ila hajachelewa atupm tu.
Jamaa kala 2M ila hajachelewa atupm tu.
Hata evance alijijua hali yakeUmeelelewa lakini? Jamaa aliyekodiwa naye hana uwezo wa kumtia mimba mwanamke na hata mkewe alilazimika kulala na binamu yake na kuweza kuzaa watoto wawili ambao Evance alikuwa anaamini ni wake.
Siyo wanaume wana mambo ya hatari, Hata wanawake wana mambo ya hatari, Yule mwanamke alifuata nini kwa binadamu?
Wanaume wana mambo ya hatari kabisa
Siyo wanaume wana mambo ya hatari, Hata wanawake wana mambo ya hatari, Yule mwanamke alifuata nini kwa binadamu?
Wanaume wana mambo ya hatari kabisa
Dah nimesoma hapo katikati imebidi nicheke. Alieitwa kusaidia nae kumbe kasaidiwa!
Ila jamaa kafaidi kala mzigo mara 77!
binamu wa mumesoma vuzur mkuu!! aliyeitwa naye hana uwezo wa kumtia mimba!! hata mkewe alitiwa mimba na binamu yake!!
wanawake ndio wana hatari kubwa , uoni mtu analea watoto sio wake
Wanaume wana mambo ya hatari kabisa
kali kama nn ?HiI kali
wanawake ndio wana hatari kubwa , uoni mtu analea watoto sio wake
Kwani huyo bwana wakati anakodiwa alimshirikisha mkewe sema wote wana hatari naye pia kwa mkewewanawake ndio wana hatari kubwa , uoni mtu analea watoto sio wake
ok vizuri , je mimi nikiomba kwako uzazi shirikishi utanipa best ?Huo unaitwa uzazi shirikishi hauna hatari yoyote ile
Huyu jamaa anayeshtaki hapo ni mpuuzi , vitu kama hivyo inabidi unasamehe tu