Polisi aliyekataa Rushwa ya milioni 10 na kupandishwa cheo apokonywa vyeo vyote, amlilia Rais Samia

unawezakuta jamaa alichunguzwa akakutwa nje ya zile sifa zilizofanya apewe cheo,alikuwa na makamba kamba mengi sana.

ujue polisi ukiona kakataa hela basi jua kuna hela nyingine nyingi kachukua,
japo sijakataa malaika pia wapo PT na wanapaa kabisa kama kingai.
Malaika apatikane polisi???!!😂😂😂aacha utani na hao malaika
 
Sasa kama haki inapindishwa na walio juu huku chini ufanye nini?

Kuna afisa uhamiaji akimkamata Mchina hana vibali , Mchina alimpa $5,000 wayamalize. Afisa akazikataa, alimuweka ndani. Kesho yake boss wake alimtoa Mchina. Sasa si kheri angejilia $5,000 zake.
Ni kama yule binti wa TRA pale Kkoo alikataa 12M halafu wajuba wakatolewa na boss kwa memo tu

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Katika Hali ya kushangaza Askari polisi ,Meshack Laizer aliyepandishwa cheo Na IGP Simon Siro Disemba 22,2019 jiji Arusha Kwa kukataa Rushwa ya sh,milioni kumi ,amevuliwa vyeo vyote rasimi.


Meshack alipanda cheo kutoka sajenti Hadi staffsajenti Kutokana na jitihada zake za kupambana na Rushwa baada ya kukataa burungutu la sh, milioni 10.


Askari hiyo ambaye Kwa Sasa ni askari wa kawaida mwenye cheo Cha Koplo akiwa mkuu wa kituo kidogo Cha polisi Kijenge amethibitisha kuvuliwa vyeo vyote baada ya kupokea barua , desemba 12,2021 ikimtaarifu kwamba umevuliwa vyeovyote tangu novemba 26 mwaka huu.


Alisema katika utendaji wake wa kazi jijini Arusha,amewahi kukataa Rushwa ya sh, 250,000 kutoka kwa raia mmoja aliyemkuta akiendesha kiwanda bubu Cha kutengeneza vichwa vya majiko ya gesi, tukio lililotolewa Julai 3 mwaka 2020.


Pia askari huyo alidai kukaa Rushwa ya sh, 150,000 na sh,milioni 10 Kwa watu waliotaka kumhonga .


Alisema matukio hayo yalimpatia sifa ya utendaji Kazi uliotukuka ndani ya jeshi Hilo na kupelekea,polisi Arusha, Takukuru pamoja na IGP Siro kumwandikia barua za kumpongeza .


PC Meshack alipandishwa cheo na IGP Siro mwaka 2019 kupitia Kwa aliyekuwa RPC Arusha, Marehemu Jonathan Shana baada ya kukataa Rushwa ya sh, milioni 10 kutoka Kwa kampuni Moja ya mafuta baada ya kukamata gari la Kampuni hiyo likiuza mafuta mtaani bila kufuata utaratibu.


Askari huyo ambaye alipendeke zwa kupanda cheo mwaka huu ,kutoka staff sajenti na kuwa SM/RSM amejikuta akishushwa vyeo vyote na kuwa askari wa kawaida jambo ambalo amemwomba Rais Samia na waziri wa mambo ya ndani George Simbachawene kumsaidia .


Hata hivyo alidai kwamba licha ya kupandishwa cheo mwaka 2019 ,hakuwahi kuongezewa mshahara kwani malipo yake yalikuwa ni ya askari wa kawaida.
















View attachment 2053636
Rushwa ya polisi inamfikia mpaka igp anapata mgao wake
 
Hafanani na wenzake, wao wanapokea yeye anakataa hatakiwi tena wamvue awe raia mwema si muda atawachoma wenzake
 
Kweli rushwa ni adui wa haki. Na haki ni adui wa rushwa. Jamaa ana vita kali sana
Hii ni danganya toto, mimi binafsi ninamfahamu huyo Meshack, mwaka huu mwanzoni alikuwa kituo cha Sekei pale pembeni ya Mount Meru hotel au nyumba za BOT.
ni bonge la mnafiki na njaa balaa.
Unaposema mtu kama huyo alikataa rushwa ya 10ml labda alihisi ni mtego.
Huyu jamaa haachagi hata 20k, ukiniambia aliiachaje 10ml nashindwa kuelewa.
Huyu jamaa hafaagi...sina kisa naye anaongea nikijuacho.
 
Katika Hali ya kushangaza Askari polisi ,Meshack Laizer aliyepandishwa cheo Na IGP Simon Siro Disemba 22,2019 jiji Arusha Kwa kukataa Rushwa ya sh,milioni kumi ,amevuliwa vyeo vyote rasimi baada ya kukataa kwenda kusomea cheo hicho, CCP Moshi.


Meshack alipanda cheo kutoka sajenti Hadi staffsajenti Kutokana na jitihada zake za kupambana na Rushwa baada ya kukataa burungutu la sh, milioni 10.


Askari hiyo ambaye Kwa Sasa ni askari wa kawaida mwenye cheo Cha Koplo akiwa mkuu wa kituo kidogo Cha polisi Kijenge amethibitisha kuvuliwa vyeo vyote baada ya kupokea barua , desemba 12,2021 ikimtaarifu kwamba umevuliwa vyeovyote tangu novemba 26 mwaka huu.


Alisema katika utendaji wake wa kazi jijini Arusha,amewahi kukataa Rushwa ya sh, 250,000 kutoka kwa raia mmoja aliyemkuta akiendesha kiwanda bubu Cha kutengeneza vichwa vya majiko ya gesi, tukio lililotolewa Julai 3 mwaka 2020.


Pia askari huyo alidai kukaa Rushwa ya sh, 150,000 na sh,milioni 10 Kwa watu waliotaka kumhonga .


Alisema matukio hayo yalimpatia sifa ya utendaji Kazi uliotukuka ndani ya jeshi Hilo na kupelekea,polisi Arusha, Takukuru pamoja na IGP Siro kumwandikia barua za kumpongeza .


PC Meshack alipandishwa cheo na IGP Siro mwaka 2019 kupitia Kwa aliyekuwa RPC Arusha, Marehemu Jonathan Shana baada ya kukataa Rushwa ya sh, milioni 10 kutoka Kwa kampuni Moja ya mafuta baada ya kukamata gari la Kampuni hiyo likiuza mafuta mtaani bila kufuata utaratibu.


Askari huyo ambaye alipendeke zwa kupanda cheo mwaka huu ,kutoka staff sajenti na kuwa SM/RSM amejikuta akishushwa vyeo vyote na kuwa askari wa kawaida jambo ambalo amemwomba Rais Samia na waziri wa mambo ya ndani George Simbachawene kumsaidia .


Hata hivyo alidai kwamba licha ya kupandishwa cheo mwaka 2019 ,hakuwahi kuongezewa mshahara kwani malipo yake yalikuwa ni ya askari wa kawaida.
















View attachment 2053636
naye mjinga tu....unapandishwa cheo na unapewa opportunity ya kwenda kusoma. Hakujua kuwa pengine akimaliza kusoma atapanda zaidi ya staff sajent?
 
Katika Hali ya kushangaza Askari polisi ,Meshack Laizer aliyepandishwa cheo Na IGP Simon Siro Disemba 22,2019 jiji Arusha Kwa kukataa Rushwa ya sh,milioni kumi ,amevuliwa vyeo vyote rasimi.

Askari hiyo ambaye Kwa Sasa ni askari wa kawaida mwenye cheo Cha Koplo akiwa mkuu wa kituo kidogo Cha polisi Kijenge amethibitisha kuvuliwa vyeo vyote baada ya kupokea barua , desemba 12,2021 ikimtaarifu kwamba umevuliwa vyeovyote tangu novemba 26 mwaka huu.
Mkuu Waziri2025 , kwanza asante kwa taarifa hii, itafika kunako, ila kwanza lets put the records clear.
Sii kweli kuwa amevuliwa vyeo vyote na kubaki askari wa kawaida, bali amevuliwa vyeo alivyopandishwa fasta na kubaki na rank aliyokuwa nayo kabla ya kupandishwa.
Askari wa kawaida ni yule asiye na cheo chochote, Coplo ni mbavu mbili, ni cheo!. Hivyo heading kuwa amevuliwa vyeo vyote sii taarifa sahihi, bali amevuliwa vyeo vya kupwa bure bure na kurejeshewa kile cheo chake cha zamani!.

Kwenye polisi, majeshi na askari wetu kuna vyeo vya aina 5.
  1. Junior NCO's,- private, la corplo na corploKoplo wa Polisi(cpl)Koplo Usu
    Konstebo wa Polisi(pc)
  2. Senior NCO's - Sergeant, Staff Sergeant na Warrant officer 1&2/Sir Major (kolokolo) Sajini Meja wa polisi(rsm), Stesheni Sajini wa Polisi(s/sgt) na Sajini wa Polisi(sgt)
  3. Junior COs- Maofisa wadogo Mrakibu Msaidizi wa Polisi(ASP), Mkaguzi wa Polisi(Insp)Mkaguzi Msaidizi wa Polisi(A/Insp)
  4. Senior Offices, Naibu Kamishina wa Polisi(DCP), Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Polisi(SACP), Kamishina Msaidizi wa Polisi(ACP), Mrakibu Msaidizi Mwandamizi wa Polisi(SSP), Mrakibu wa Polisi(SP)
  5. Staff Officers- Kamishina wa Polisi(CP), Naibu Inspekta Jenerali wa Polisi(DIGP), Inspekta Jenerali wa Polisi(IGP)
Kwa vyeo vyote vya chini, ili askari kupanda cheo kimoja kwenda kingine , kila cheo kina majukumu tofauti tofauti, hivyo baada ya kupandishwa cheo ni lazima ahudhurie kozi fulani ili uendane na cheo kimya. Hivi vyeo vya kupeana tuu, hufuatiwa na aliyepewa kuwajibika kuhudhuria kozi ya kuendana na cheo chake.

Vyeo vya staff officers sio vyeo vya merits ni vyeo vya hisani ya CinC.

Hivyo huyo askari, alipaswa baada ya kupata cheo kwa sadakalawe, he had to deserve kwa kwenda kozi, vinginevyo anapokonywa!.

Nimesoma mahali kuwa alikuwa Sajini, sasa ni koplo, huko ni kushushwa cheo, aseme vuzuri tuu, kuna kosa amefanya kustahili kushushwa cheo, hivyo awe muwazi tuu.
P
 
Katika Hali ya kushangaza Askari polisi ,Meshack Laizer aliyepandishwa cheo Na IGP Simon Siro Disemba 22,2019 jiji Arusha Kwa kukataa Rushwa ya sh,milioni kumi ,amevuliwa vyeo vyote rasimi baada ya kukataa kwenda kusomea cheo hicho, CCP Moshi.


Meshack alipanda cheo kutoka sajenti Hadi staffsajenti Kutokana na jitihada zake za kupambana na Rushwa baada ya kukataa burungutu la sh, milioni 10.


Askari hiyo ambaye Kwa Sasa ni askari wa kawaida mwenye cheo Cha Koplo akiwa mkuu wa kituo kidogo Cha polisi Kijenge amethibitisha kuvuliwa vyeo vyote baada ya kupokea barua , desemba 12,2021 ikimtaarifu kwamba umevuliwa vyeovyote tangu novemba 26 mwaka huu.


Alisema katika utendaji wake wa kazi jijini Arusha,amewahi kukataa Rushwa ya sh, 250,000 kutoka kwa raia mmoja aliyemkuta akiendesha kiwanda bubu Cha kutengeneza vichwa vya majiko ya gesi, tukio lililotolewa Julai 3 mwaka 2020.


Pia askari huyo alidai kukaa Rushwa ya sh, 150,000 na sh,milioni 10 Kwa watu waliotaka kumhonga .


Alisema matukio hayo yalimpatia sifa ya utendaji Kazi uliotukuka ndani ya jeshi Hilo na kupelekea,polisi Arusha, Takukuru pamoja na IGP Siro kumwandikia barua za kumpongeza .


PC Meshack alipandishwa cheo na IGP Siro mwaka 2019 kupitia Kwa aliyekuwa RPC Arusha, Marehemu Jonathan Shana baada ya kukataa Rushwa ya sh, milioni 10 kutoka Kwa kampuni Moja ya mafuta baada ya kukamata gari la Kampuni hiyo likiuza mafuta mtaani bila kufuata utaratibu.


Askari huyo ambaye alipendeke zwa kupanda cheo mwaka huu ,kutoka staff sajenti na kuwa SM/RSM amejikuta akishushwa vyeo vyote na kuwa askari wa kawaida jambo ambalo amemwomba Rais Samia na waziri wa mambo ya ndani George Simbachawene kumsaidia .


Hata hivyo alidai kwamba licha ya kupandishwa cheo mwaka 2019 ,hakuwahi kuongezewa mshahara kwani malipo yake yalikuwa ni ya askari wa kawaida.
















View attachment 2053636

Yaani unasema alikiwa sajenti kabla ya kupandishwa kuwa staff sagenti sasa inakuwaje kwasasa ni koplo. Na kwanini amekataa kwenda CCP Moshi
 
Back
Top Bottom