Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,266
- 4,716
siyo kihiiivyo, bora kutafuta mwingine, amevuna alichotakaDuh! Mke anauma sana
siyo kihiiivyo, bora kutafuta mwingine, amevuna alichotakaDuh! Mke anauma sana
Na je ni sawa MTU atoke nchi nyingine aje akuchukulie mwanamke?........Mimi nahisi pande zote mbili kuna hekima ilikosekanaHuyu Mkenya amestahili kupigwa yaani utoke Kenya eti unakuja kumchukua Mwanamke akiwa kwa mpenzie tena akiwa Tanzania! (Wakurya huwa tunasema hii ni dharau iliyopittiliza yaani utoke Kwenu uje unipige Nyumbani kwetu!) Khaaaa! haiwezekani Mura!
Mkwepa Kodi,
Labda mimi na wewe tupo tofauti na wanaume wengine.
Mwanamke kama huyo, nikishajua yupo hai na ana mwanaume mwingine, siwezi kusumbua nafsi yangu kumtafuta.