Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,457
- 154,323
Tulipo taka kuandamana kupinga malipo kwa Dowans mlitupinga kwa kisingizio cha tishio la kushambuliwa na Al Shabab.
Siku ya mechi ya Simba na Yanga mlikuwepo wengi tu pale uwanja wa Taifa.
Sasa kuna maandamano makubwa yanakuja. Tunaomba polisi muweke chini mabomu yenu ya machozi, raia tutaongoza maandamano nyie mtatufuata kwa nyuma.
Peoples Power.
Aluta Continua
Siku ya mechi ya Simba na Yanga mlikuwepo wengi tu pale uwanja wa Taifa.
Sasa kuna maandamano makubwa yanakuja. Tunaomba polisi muweke chini mabomu yenu ya machozi, raia tutaongoza maandamano nyie mtatufuata kwa nyuma.
Peoples Power.
Aluta Continua