Vyamavingi
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 5,744
- 5,446
Jeshi letu la polisi limejikuta likitumika kisiasa ili kuwapendeza watawala. Gazeti la Mtanzania ambapo Rain Magufuli amenukuliwa akisema waliohamia Chadema ni majizi! Sijashangazwa na kauli ya rais maana ni mwanasiasa na kauli zake zinafanana na wanasiasa wengine was Tanzania.
Najiuliza, iwapo Zitto, Lissu, Mbowe au mpinzani yeyote angetumia kauli kama hiyo dhidi ya mwanasiasa mwenzake ambaye ni rais, polisi wangemwacha salama?
Natoa wito kwa polisi wawaache wanasiasa wafanye kazi zao badala ya kuwaingilia wanaporushiana mipasho yao ya kisiasa vinginevyo wataabika na kudharauliwa na umma.
[A
TTACH=full]621978[/ATTACH]
Najiuliza, iwapo Zitto, Lissu, Mbowe au mpinzani yeyote angetumia kauli kama hiyo dhidi ya mwanasiasa mwenzake ambaye ni rais, polisi wangemwacha salama?
Natoa wito kwa polisi wawaache wanasiasa wafanye kazi zao badala ya kuwaingilia wanaporushiana mipasho yao ya kisiasa vinginevyo wataabika na kudharauliwa na umma.
[A