Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,323
- 6,810
Mkuu haya mambo yalinisumbua sana kipindi fulani,, nikaamua kwenda kwenye maandiko. Mkuu kwenye bibilia hakuna kabisa Uislamu kama uislamu. kama ...sana sana utona link(ya uislam) kama vile unahusiana na roho ya mpinga kristo, joka kuu, anaepanda magugu kwenye shamba la mkulima n.k......hayo niliyo ysema nimeyasoma...lakini bahati mbaya sina uwezo mkubwa wa kukariri ila ni kweli tupu!! siku nikipata muda nitatafuta hayo maandiko niyaweke hapa ujionee.....vituko.mbona una uhakika sana na unachoongea, una uhakika na unachosema, umesoma Bible yote haukukuta eneo linalozungumzia icho kitu? by the way, umeongea point moja nzuri sana, "dunia haitapoa hadi waislam watakapokubali kutouhusisha ukristo kwenye dini yao".