Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,364
Mu khali gani wana jamvi?
Huku kwetu rombo hali si shwari kwani sukari imezidi kupaa bei toka 2400 hadi 3000, hali hii inatokana na police wa himo kuzuia magari yote yanayotoka moshi yaliyobeba sukari na mahindi na kudai kuwa yanapeleka kenya na pindi gari likikutwa na hata mfuko mmoja wa sukari wanalipeleka kituoni na kudai ilikutwa mpakani.
Kwa sisi huku Rombo sukari tunaitegemea toka Moshi, kinachonishangaza tangia lini mpaka wa TZ na Kenya kuhamia himo? Au sisi sio sehem ya TZ? Mbunge wetu bwana SELASINI uko wapi? Wananchi wako tunateseka.
Source madereva wa malori wanaotoka Moshi
Nawasilisha
Huku kwetu rombo hali si shwari kwani sukari imezidi kupaa bei toka 2400 hadi 3000, hali hii inatokana na police wa himo kuzuia magari yote yanayotoka moshi yaliyobeba sukari na mahindi na kudai kuwa yanapeleka kenya na pindi gari likikutwa na hata mfuko mmoja wa sukari wanalipeleka kituoni na kudai ilikutwa mpakani.
Kwa sisi huku Rombo sukari tunaitegemea toka Moshi, kinachonishangaza tangia lini mpaka wa TZ na Kenya kuhamia himo? Au sisi sio sehem ya TZ? Mbunge wetu bwana SELASINI uko wapi? Wananchi wako tunateseka.
Source madereva wa malori wanaotoka Moshi
Nawasilisha