Augustine Moshi
JF-Expert Member
- Apr 22, 2006
- 2,554
- 1,382
Kuna udhaifu wa kimsingi katika haki na mahakama Tanzania. Sioni polisi wakishitakiwa kwa makosa ya (1)Assault na (2)wrongful arrest ambayo wanayatenda mara kwa mara.
Huyo binti kwenye picha amekuwa assaulted na polisi. A crime has been committed. Kinaisha hivi hivi?
Watetezi wa Watanzania wakati huu, has CDM, waweke kumbukumbu ya picha kama hizi. Siku tukitokana na huu utawala wa kinyanyasaji basi tutazitumia hizi picha kuwashtaki wahusika.
Hii picha iwekwe vile vile kwenye website nyingine za Watanzania na hata za majirani zetu. MABALOZI Dar wanaona picha kama hizi?
Kuna uwezekano wa kupata nakala ya picha hii ambayo inaonyesha wazi wazi sura za mapolisi husika? Ni vema wajulikane vizuri na wajionee kazi waliyofanya.
Huyo binti kwenye picha amekuwa assaulted na polisi. A crime has been committed. Kinaisha hivi hivi?
Watetezi wa Watanzania wakati huu, has CDM, waweke kumbukumbu ya picha kama hizi. Siku tukitokana na huu utawala wa kinyanyasaji basi tutazitumia hizi picha kuwashtaki wahusika.
Hii picha iwekwe vile vile kwenye website nyingine za Watanzania na hata za majirani zetu. MABALOZI Dar wanaona picha kama hizi?
Kuna uwezekano wa kupata nakala ya picha hii ambayo inaonyesha wazi wazi sura za mapolisi husika? Ni vema wajulikane vizuri na wajionee kazi waliyofanya.