Police Brutality in Tanzania: The World has a Right to know!

Hili jeshi halijabadilika - halina u professional - kazi yao ni kunyanyasa tu. Sioni sababu ya kuwapiga hao watu na huku wakicheka.
 
Wanabodi

Nimeangalia ITV news hiyo kamata kamata ya jana ya waunini wa kanisa la Ephata, vijana wako wameonyesha udhaifu mkubwa!.

Baada ya kuwalipua wale waumini kwa mabomu ya machozi na kuwa contain, walitumia risasi za moto za nini kukabiliana na watu wasio na silaha yoyote?.

Kitu cha kusikitisha zaidi ni watuhumiwa hao kuendelea kushushiwa kipigo hata baada ya kuwa mikononi mwa palisi!.

Baada ya vijana wako kuwakamata watuhumiwa kuna sababu gani ya kuendelea kuwashushia kipigo mpaka wakiwa ndani ya defender ya polisi?.

Naomba niwakumbushe tuu baadhi ya visa vya police brutality and no one amechukuliwa hatua zozote!.

Kuna kisa cha watuhumiwa fulani 4 kilichotokea Arusha ambapo watuhuniwa hao walikamatwa toka nyumbani mwao mmoja baada ya mwingine wakiwa wazima huku wakitembea wenyewe siku ya Ijumaa.

Jumamosi ndugu zao wakafika kituo cha polisi kuwaletea ndugu zao chakula, walielezwa watuhumiwa hao wamepelekwa mahali kwa mahojiano.

Kesho yake Jumapili waliporudi polisi walielezwa ndugu zao wamepelekwa hospitali ya Mt. Meru.

Walipofika hospitali waliinyeshwa miili ya watu wanne waliouwawa kinyama na majeraha ya vipigo!. Polisi walipoifikisha miili hiyo hospitalini hapo, waliandikisha kuwa wameiokota eneo la Unga Limited baada ya kupigwa na watu wenye hasira!.
The story ended up there and then!. Hakuna chochote kilicho fuatia hata tuu japo kuulizwa kama ile kesi ya Zombe!.

Kwa nini mtuhumiwa aliyekuwa mzima afie mikononi mwa polisi bila uwajibikaji wowote wa jeshi la polisi?!.

Kamanda Mwema, haya yanatokea kwa sababu mnajua Watanzania hawajui haki zao, polisi wako hawajui haki za binaadamu na kama arrest kama za jana zenye police brutality zimefanywa mbele ya camera, and no body cares, huko behind bars ni nini haswa kinafanyika?. Si ndio itakuwa worse?!.

Yote haya yanawezekana kwa sababu Watanzania hatujui haki zetu, chochote kinachofanywa na polisi wanajua ndio haki yao tena watu hawajui kabisa kuwa raia wa kawaida anaweza kulishitaki jeshi la polisi!.

No one is above the law, please stop this police brutality inayofanywa wazi wazi and behind clossed doors!.

Thanks.

Pasco.
Kinachoendelea sasa kwa jeshi letu la polisi ni muendelezo tuu wa haya!.

Sisi wanahabari, tulipaswa kuyakemea matendo haya maovu ya polisi wetu tangu kitambo, na sio sasa ndio tunapiga mayowe kwa nguvu as if polisi wetu ndio wameanza leo!, najua kelele zimezidi kwa sababu ni sisi waandishi, ila polisi walipaswa kushukiwa siku nyingi, kwa sababu hizi ndio zao, kila siku wanawafanyia raia vitendo hivi, sisi kama waandishi, kazi yatu ni kutafuta angle nzuri, kupuga picha na kuripoti as if the police were doing the right thing!, mpaka walipotushukia sisi waandishi ndipo tunazinduka!.

Pasco
 
tz_pix.jpg


Police in Arusha 5/1/2011





Police in action Arusha 5/01/2011

mapiganoarusha_chadema81.jpg


071231-kenya-hmed-135a.h2.jpg


images
HIYO NDIO DEMOKRASIA YA VYAMA VINGI NCHINI
 
Hakuna brutality yoyote....ni lazima tujifunze kutii mammlaka....force/nguvu iliyotumika ni reasonable....compared to resistance kutoka kwa raia....usiseme brutality ni kubwa ....sema pia kiwango cha wananchi kukaidi na kutokutii mammlaka kimeongezeka.....action and reaction
Action & Reaction unadhani mwisho wake ni nini?.
 
Wakuu ni ombi tu hizi picha zinazidisha hasira kwa wale walio namna moja au nyengine athirika na fujo au matukio hayo. Sidhani kama ni busara kuziweka kwani unachochea chuki katika jamii!! Ni mtazamo tu.
Hhaahhah Chuki .... Say That when your Mother get shot
 
We are back to square one. This's disgusting!
Looks like the forces have no heart or shame to attack a fellow Tanzanian randomly.
God forbid wananchi decide to take this to the streets, and it gets out of control.

..Praying It's taken care of before it's too late!...

"The baobabs are giant plants that grow on the prince's planet. They start off as tiny weeds, but if not uprooted and discarded when they are little, they firmly take root and can even cause a planet to split apart.."
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom