Inno laka
JF-Expert Member
- Mar 24, 2012
- 1,616
- 583
Odinyo, sitetei walichofanya hao wavamizi, au sitetei uhalifu wa aina yoyote, ninachotetea, ni kuwa
1. Hao wahalifu hawakuwa na silaha yoyote ya moto, sasa polisi wanapiga risasi za moto za nini?.
Sipo sheria, taratibu na kanuni zinazotawala uvamizi wa polisi kwenye nyumba za ibada pale wahalifu
wanapokimbilioa kwenye nyumba hizo kujisalimisha!, zilifuatwa?. Sikuona gari la matangazo, sikuona polisi
wakilizunguka jengo kuwataka wajisalimishe, baada ya kutumia mabomu ya machozi kwa wahalifu wasio na silaha
za moto, kinachofuatia ni ruber bullets na sio fire bullets!. Nilichoona ni fire bullets as if jamaa wako vitani, na hao
askari wenyewe nimeona wanavyo advance, wako nyoro nyoro tuu, wakikutana na watu wa ukweli wa shughuli hizo
wangeweza wiped out!.
2. Wahalifu umeshawashika, wako chini ya ulinzi wa polisi, kwa nini ni polisi hao hao waliendelea kuwashushia vipigo?.
Nilidhana mikononi mwa polisi ndizo safe hands za wahalifu kujisalimisha!, kichapo cha nini?. I wish kama hilo kanisa ni kweli linamwabudui Mungu aliyejuu, hao askari wote waliofanya waliyoyafanya, yatawakuta ya kuwakuta!.
kipigo lazima wajifunze..'ndo maana kunanguvu ya kawaida..'na nguvu ya ziada,,?hii hapo ya ziada ndo pale palikuwa mahala pake