Easymutant
R I P
- Jun 3, 2010
- 2,564
- 1,129
Wajamani bado nipo na hang over but nimeweza kusikia hii
Kituo cha redio Triple A FM imetangaza kuwa mkutano wa chadema
Ambao unatakiwa kufanyika leo wanasema si halali
Hivyo tunatahadhalishwa na kusisitizwa tusiende, Je hizi ni zile
Zao za Kiccm kuleta kauzibe ama ni vipi ?
Kituo cha redio Triple A FM imetangaza kuwa mkutano wa chadema
Ambao unatakiwa kufanyika leo wanasema si halali
Hivyo tunatahadhalishwa na kusisitizwa tusiende, Je hizi ni zile
Zao za Kiccm kuleta kauzibe ama ni vipi ?