Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,366
Viwanda vipo vingi sana..Jamani niulizieni Polepole, viwanda vipo vingapi?
.kariakoo pekeee ina viwanda zaidi ya 600...nensa pale gerezani uone vijana wanavyotengeneza majiko ya kuchoma nyama na makarai ya kukaanga samaki.......viwanda hoyeeeee