#COVID19 Polepole: Watanzania tuendeleeni kutumia njia za asili kupambana na Corona

Daah GMOs noma

Jamaa wanataka kutubadilisha uhalisia wetu bila huruma aisee

Pata picha mapapai na maparachichi yalivyo makubwa sikuhizi...mpaka unaogopa kununua sijui km TFDA wamechunguza hili aisee...Sasa kitu kinakuja kinaingia kwa damu mwilini..tutapata habari yetu..sijui wanataka tuwe marobot..

Hapa ndio tutamkumbuka mkemia wetu JPM...Rest easy Baba!

Mkuu kama huitaki haitaingia kwenye damu yako. Kama unasema wanataka kutubadilisha basi ukiri pia nao wanajibadilisha kwa sababu wanachanjwa chanjo hizo hizo, au unasema sisi zetu zitakuwa ni mbaya??

Kumbuka pia ni hiari. Badala ya kuleta dhana hapa - jikite kwenye kuikataa chanjo isiingie mwilini mwako. Wanaotaka kuchanjwa watumie uhuru wao. Ninahisi maisha yako ni ya nyumbani zaidi, ungekuwa unajua adha za watu wengine na wanafanya nini na wanaishi wapi - usingeleta mawazo yaliyofungwa. Bro, exposure ni muhimu sana. Tanzania sio dunia, ni sehemu ya dunia. Huenda hujui hata ili mtu asafiri kwenda nchi nyingine sasa ni lazima aoneshe hana covid19!! Exposure! Exposure! Na kuipata sio lazima usafiri kwenda nje - hapo hapo ulipo unaweza kujifunza mambo yanayotokea sehemu nyingine ya dunia.

What an immature brain!!
 
Mkuu kama huitaki haitaingia kwenye damu yako. Kama unasema wanataka kutubadilisha basi ukiri pia nao wanajibadilisha kwa sababu wanachanjwa chanjo hizo hizo, au unasema sisi zetu zitakuwa ni mbaya??

Kumbuka pia ni hiari. Badala ya kuleta dhana hapa - jikite kwenye kuikataa chanjo isiingie mwilini mwako. Wanaotaka kuchanjwa watumie uhuru wao. Ninahisi maisha yako ni ya nyumbani zaidi, ungekuwa unajua adha za watu wengine na wanafanya nini na wanaishi wapi - usingeleta mawazo yaliyofungwa. Bro, exposure ni muhimu sana. Tanzania sio dunia, ni sehemu ya dunia. Huenda hujui hata ili mtu asafiri kwenda nchi nyingine sasa ni lazima aoneshe hana covid19!! Exposure! Exposure! Na kuipata sio lazima usafiri kwenda nje - hapo hapo ulipo unaweza kujifunza mambo yanayotokea sehemu nyingine ya dunia.

What an immature brain!

Wewe mwenye exposure hujaona nchi unazoziona za maana sana kwako km na wao wanagomea chanjo...

Hujaona watu wanakufa kwenye hizo nchi sababu ya hio chanjo...

Tumepewa ubongo ili tu question mambo sio kila kitu unaambiwa ni sawa tu kisa wamekwambia wazungu, km vile wao hawakosei..
 
Wewe mwenye exposure hujaona nchi unazoziona za maana sana kwako km na wao wanagomea chanjo...

Hujaona watu wanakufa kwenye hizo nchi sababu ya hio chanjo...

Tumepewa ubongo ili tu question mambo sio kila kitu unaambiwa ni sawa tu kisa wamekwambia wazungu, km vile wao hawakosei..
Waliochanjwa ndiyo wanaongoza kwa kupata Omicroni
 
Katibu mwenezi msitaafu wa CCM na mbunge wa kuteuliwa wa bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania bwana Humphrey Polepole amehoji ni kwa nini watanzania wanataka kuacha mbinu za asili zilizotusaidia mwaka jana kupambana na corona na tukaibuka na mafanikio makubwa kiuchumi na kijamii?

Bwana Polepole ametolea mfano wa nchi zote zilizojaribu kupambana na Corona kwa kufuata mfumo wa kimagharibi mwishoni wa mwaka 2020 ziliishia kupata ukuaji hasi wa uchumi kwenye nchi zao!

Polepole amesema ni Tanzania tu ndiyo iliyopata ukuaji wa uchumi chanya kwenye nchi zote za Afrika mashariki. Sasa kwa nini sisi watanzania tunaona aibu kujivunia hizo mbinu za asili? Amehoji mh Polepole.

Mwaka jana tulipambana na Corona kwa kutumia njia tatu.
1. Kumtanguliza Mungu mbele
2. Kufuata mbinu mbalimbali tunazoshauliwa na watalaamu wetu
3.Kuchapa kazi kwa bidii



Unatembelea V8 Na vioo umefunga , hiyo nayo ni njia ya kujikinga Na Corona?
 
Muulize Zito Kabwe

Kutokea kwao walipimwa.

IMG_20211223_124929_648.jpg


Kufika nyumbani wakapimwa tena.

Ukiamini hawakuipata huku kwa wapiga nyungu wahi mirembe.
 
Back
Top Bottom