mlimilwa
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,078
- 3,141
Hahahahahahahahahahahahahahaha...........Sahani imetolewa mezani sasa akili zimerudi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahahahahahahahahahahahaha...........Sahani imetolewa mezani sasa akili zimerudi
Ukiweka na kesi ya mh Mbowe maumivu ni makubwa Sana hawajui tuMbunge kutandikwa risasi mchana kweupe (Haijawahi kutokea ndani ya TZ) na hakuna juhudi zozote zilizofanyika ili kukamatwa waliohusika
Hivi huwa ni kijana au mzee? Very confusing
Upo sahii Sana mkuu , Yani wanakumbuka leo jana yao hawakumbuki,
Mfano ile kesi waliofungwa ,mh Mbowe ,mch Msigwa , Mdee, Mnyika, Heche ,
Kisa tu kulikua na mausiano ya familia ya mchungaji Msigwa na Mwenda zake Basi ni huyo polepole ameenda magereza na makamera kumtoa Mchungaji Msigwa japo aliwakataa , na nikipindi mchungaji Msigwa alikua amelipiwa na watanzania , alafu leo anajifanya kemea serikali ya awam ya sita ,wakati ni walewale kisa ametengwa? Watanzania sio wajinga ,POLEPOLE hizo nguvu anatoa wapi ,? Bora akae kimya Hana lolote anaweza wambia watu labda wale wajinga ambao ata kutunza kumbukumbu kwao ni mzigo ,
Leo eti ndo anajifanya pinga wanaccm wenzake wakati ameshikili asilimia ,100% kubomoa mshikamano wa Taifa, Hana haibu na atekeleze nilicho mwambia Mungu wangu yupo up to date sana
Kuna maswali najiuliza mbona kama wanasiasa kama Haumphrey Polepole wa tanzania baraz Wana uwezo mkubwa sana katka comedy kuliko hata politics Kuna haja yakua halalisha kua politics in tz is directly proportional to comedy"Wana CCM wenzangu hatupaswi kukaa kimya pale ambapo Serikali inapofanya makosa, tuwe wakali na majasiri kukemea,tusiwe waoga, Katiba yetu ya Chama inatutaka kuisimamia kweli"- H. Polepole
My take:
Huyu na mwenzake Jiwe si ndio walimtimua Membe ambaye alitumia uhuru wake kama mwanachama wa CCM (Kama katiba ya chama inavyotaka) kuikosoa Serikali?
Mbunge kutandikwa risasi mchana kweupe (Haijawahi kutokea ndani ya TZ) na hakuna juhudi zozote zilizofanyika ili kukamatwa waliohusika
Wewe choko , kipi kinaanza kati ya kumfukuza mtu na kumuua ?Hata Chacha wangwe, Sumaye ,Lazaro Nyalandu walitumia haki zao pia lakini wakauawa na kufukuzwa
Niliacha kumsikiliza alipofanya U-turn kwenye Katiba Mpya."Wana CCM wenzangu hatupaswi kukaa kimya pale ambapo Serikali inapofanya makosa, tuwe wakali na majasiri kukemea,tusiwe waoga, Katiba yetu ya Chama inatutaka kuisimamia kweli"- H. Polepole
My take:
Huyu na mwenzake Jiwe si ndio walimtimua Membe ambaye alitumia uhuru wake kama mwanachama wa CCM (Kama katiba ya chama inavyotaka) kuikosoa Serikali?
"Wana CCM wenzangu hatupaswi kukaa kimya pale ambapo Serikali inapofanya makosa, tuwe wakali na majasiri kukemea,tusiwe waoga, Katiba yetu ya Chama inatutaka kuisimamia kweli"- H. Polepole
My take:
Huyu na mwenzake Jiwe si ndio walimtimua Membe ambaye alitumia uhuru wake kama mwanachama wa CCM (Kama katiba ya chama inavyotaka) kuikosoa Serikali?
Kama kuna watu wamekosa haya nchi hii nadhani Polepole ni namba mojaAtamkemea nani wakati yeye alishirikiana na Magufuli kuharibu chaguzi za nchi hii? Hao wanaccm wenzake anaotaka wawe wakali, wote wako madarakani kwa maagizo ya Magufuli na sio ridhaa ya umma. Asidhani wanaccm wenzake hawaujui ukweli huo.
Huyu ni ndumi la kuwili mkuu"Wana CCM wenzangu hatupaswi kukaa kimya pale ambapo Serikali inapofanya makosa, tuwe wakali na majasiri kukemea,tusiwe waoga, Katiba yetu ya Chama inatutaka kuisimamia kweli"- H. Polepole
My take:
Huyu na mwenzake Jiwe si ndio walimtimua Membe ambaye alitumia uhuru wake kama mwanachama wa CCM (Kama katiba ya chama inavyotaka) kuikosoa Serikali?
Na ya ukoo wake wote shenzi huyuMatako yake...
Kajamba kana ROHO ya KOROSHO haka"Wana CCM wenzangu hatupaswi kukaa kimya pale ambapo Serikali inapofanya makosa, tuwe wakali na majasiri kukemea,tusiwe waoga, Katiba yetu ya Chama inatutaka kuisimamia kweli"- H. Polepole
My take:
Huyu na mwenzake Jiwe si ndio walimtimua Membe ambaye alitumia uhuru wake kama mwanachama wa CCM (Kama katiba ya chama inavyotaka) kuikosoa Serikali?
Haka kajamaa kahovyo sana.
Kwanza hata kaongee kitu gani,hakana mvuto wala ushawishi.
Bora kangekaa kimya tu.
Hahahaha, you are delusional mfacha wivu polepole ana mvuto kuliko mbowe