Polepole: Wana-CCM tusikae kimya Serikali ikikosea, tuwe wakali na jasiri kukosoa

Mkuu mwache tu maana waswahili hunena anayetafuta sifa kwa nguvu hununua dharau kwa bei rahisi
Upo sahii Sana mkuu , Yani wanakumbuka leo jana yao hawakumbuki,

Mfano ile kesi waliofungwa ,mh Mbowe ,mch Msigwa , Mdee, Mnyika, Heche ,
Kisa tu kulikua na mausiano ya familia ya mchungaji Msigwa na Mwenda zake Basi ni huyo polepole ameenda magereza na makamera kumtoa Mchungaji Msigwa japo aliwakataa , na nikipindi mchungaji Msigwa alikua amelipiwa na watanzania , alafu leo anajifanya kemea serikali ya awam ya sita ,wakati ni walewale kisa ametengwa? Watanzania sio wajinga ,POLEPOLE hizo nguvu anatoa wapi ,? Bora akae kimya Hana lolote anaweza wambia watu labda wale wajinga ambao ata kutunza kumbukumbu kwao ni mzigo ,

Leo eti ndo anajifanya pinga wanaccm wenzake wakati ameshikili asilimia ,100% kubomoa mshikamano wa Taifa, Hana haibu na atekeleze nilicho mwambia Mungu wangu yupo up to date sana
 
"Wana CCM wenzangu hatupaswi kukaa kimya pale ambapo Serikali inapofanya makosa, tuwe wakali na majasiri kukemea,tusiwe waoga, Katiba yetu ya Chama inatutaka kuisimamia kweli"- H. Polepole

FFHjG4pXMAAO1bq


My take:
Huyu na mwenzake Jiwe si ndio walimtimua Membe ambaye alitumia uhuru wake kama mwanachama wa CCM (Kama katiba ya chama inavyotaka) kuikosoa Serikali?
Kuna maswali najiuliza mbona kama wanasiasa kama Haumphrey Polepole wa tanzania baraz Wana uwezo mkubwa sana katka comedy kuliko hata politics Kuna haja yakua halalisha kua politics in tz is directly proportional to comedy

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Achana naye huyo anajiuguza wehu maana anajifanya hakuyaona mambo yaliyokuwa yanafanyika hata mwendawazimu aliona watu walivyokuwa wakiteseka
Mbunge kutandikwa risasi mchana kweupe (Haijawahi kutokea ndani ya TZ) na hakuna juhudi zozote zilizofanyika ili kukamatwa waliohusika
 
"Wana CCM wenzangu hatupaswi kukaa kimya pale ambapo Serikali inapofanya makosa, tuwe wakali na majasiri kukemea,tusiwe waoga, Katiba yetu ya Chama inatutaka kuisimamia kweli"- H. Polepole

FFHjG4pXMAAO1bq


My take:
Huyu na mwenzake Jiwe si ndio walimtimua Membe ambaye alitumia uhuru wake kama mwanachama wa CCM (Kama katiba ya chama inavyotaka) kuikosoa Serikali?
Niliacha kumsikiliza alipofanya U-turn kwenye Katiba Mpya.
 
Angeeleweka kama asingekuwa sehemu ya utawala uliopita,bora angebaki kuwa mwanaharakati huru.Hapa anaonesha kutokuwa na wadhifa inamuumiza sana
 
Atamkemea nani wakati yeye alishirikiana na Magufuli kuharibu chaguzi za nchi hii? Hao wanaccm wenzake anaotaka wawe wakali, wote wako madarakani kwa maagizo ya Magufuli na sio ridhaa ya umma. Asidhani wanaccm wenzake hawaujui ukweli huo.
"Wana CCM wenzangu hatupaswi kukaa kimya pale ambapo Serikali inapofanya makosa, tuwe wakali na majasiri kukemea,tusiwe waoga, Katiba yetu ya Chama inatutaka kuisimamia kweli"- H. Polepole

FFHjG4pXMAAO1bq


My take:
Huyu na mwenzake Jiwe si ndio walimtimua Membe ambaye alitumia uhuru wake kama mwanachama wa CCM (Kama katiba ya chama inavyotaka) kuikosoa Serikali?
 
Atamkemea nani wakati yeye alishirikiana na Magufuli kuharibu chaguzi za nchi hii? Hao wanaccm wenzake anaotaka wawe wakali, wote wako madarakani kwa maagizo ya Magufuli na sio ridhaa ya umma. Asidhani wanaccm wenzake hawaujui ukweli huo.
Kama kuna watu wamekosa haya nchi hii nadhani Polepole ni namba moja
 
"Wana CCM wenzangu hatupaswi kukaa kimya pale ambapo Serikali inapofanya makosa, tuwe wakali na majasiri kukemea,tusiwe waoga, Katiba yetu ya Chama inatutaka kuisimamia kweli"- H. Polepole

FFHjG4pXMAAO1bq


My take:
Huyu na mwenzake Jiwe si ndio walimtimua Membe ambaye alitumia uhuru wake kama mwanachama wa CCM (Kama katiba ya chama inavyotaka) kuikosoa Serikali?
Huyu ni ndumi la kuwili mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Wana CCM wenzangu hatupaswi kukaa kimya pale ambapo Serikali inapofanya makosa, tuwe wakali na majasiri kukemea,tusiwe waoga, Katiba yetu ya Chama inatutaka kuisimamia kweli"- H. Polepole

FFHjG4pXMAAO1bq


My take:
Huyu na mwenzake Jiwe si ndio walimtimua Membe ambaye alitumia uhuru wake kama mwanachama wa CCM (Kama katiba ya chama inavyotaka) kuikosoa Serikali?
Kajamba kana ROHO ya KOROSHO haka
 
Jamani HUYU mjamzito ana mimba hatarishi ya JIWE nashauri akikaribia kujifungua apelekwe Burundi Na tuombe serikali ya Burundi watoe na kitambulisho Cha NIDA ya Kirundi au ya kihalfcast wa kipangwa na Kirundi
 
44 Reactions
Reply
Back
Top Bottom