Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,080
- 8,218
- Thread starter
- #81
Why Mkuu?Hili Taifa Kama kinyonga linabadirika badirika hata halieleweki lipoje
Why Mkuu?Hili Taifa Kama kinyonga linabadirika badirika hata halieleweki lipoje
Siasa zinakufanya unakuwa kchaaa
Ova
Nimeweka picha, mcheki wanavyofanaana teh tehHahahaha, Bado yupo "Zama za mawe za kale"
Tumekusikia madiluUtawala huu watu kama hawa wanaachwa tu wajivue nguo hadharani, ni utawala ambao unaongozwa na mtu safi kabisa, hana doa hata moja, huwezi kumchafua kwa lolote, nia yake ni kuivusha TZ kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine! Mistakes za hapa na pale hazitokosekana, lakini tutafika Pahala!
Anajidhalilisha, Bashiru kukaa kimya siyo kwamba ni mjinga, misimamo yake kabla ya kuwa KM inajulikana, alipokuwa KM akaikana, ukishapiga boko za hivyo kwenye maisha unapiga kimya, ila huyu anajifanya kiburiIla madaraka matamu sana aisee yaan huez ona makosa ukiwa kweny diko 🍔🍔
Nimeona ChiefNimeweka,picha mcheki wanavyofanaana teh teh
Sipo huko kabisa MkuuTumekusikia madilu
Nguvu unayotumia inakutambulishaSipo huko kabisa Mkuu
Upo sahii Sana mkuu , Yani wanakumbuka leo jana yao hawakumbuki,Huyu jamaa hakutakiwa kuongea kwa sasa, ila tushukuru tu utawala wao wa kidhalimu kuondolewa kwa nguvu isiyoonekana
Wamejaa misitu ya Congo hawa Mkuu, wenzao walipoamua kupambana na Savana land Arusha wao wakakimbilia Congo, hadi leo wanasumbuaHuyu hajaevolve,bado yuko kwe steji ya pili sawa na Australopiphicus Boisei Hominid wa Mapangoni.
Huyu Mtu awekwe kwenye Zoo ili tuende kumiangalia.
View attachment 2024412
Jamii ya akina Polepole wanafanana sana
Mnapigania demokrasia ambayo hamuiishi..Upo sahii Sana mkuu , Yani wanakumbuka leo jana yao hawakumbuki,
Mfano ile kesi waliofungwa ,mh Mbowe ,mch Msigwa , Mdee, Mnyika, Heche ,
Kisa tu kulikua na mausiano ya familia ya mchungaji Msigwa na Mwenda zake Basi ni huyo polepole ameenda magereza na makamera kumtoa Mchungaji Msigwa japo aliwakataa , na nikipindi mchungaji Msigwa alikua amelipiwa na watanzania , alafu leo anajifanya kemea serikali ya awam ya sita ,wakati ni walewale kisa ametengwa? Watanzania sio wajinga ,POLEPOLE hizo nguvu anatoa wapi ,? Bora akae kimya Hana lolote anaweza wambia watu labda wale wajinga ambao ata kutunza kumbukumbu kwao ni mzigo ,
Leo eti ndo anajifanya pinga wanaccm wenzake wakati ameshikili asilimia ,100% kubomoa mshikamano wa Taifa, Hana haibu na atekeleze nilicho mwambia Mungu wangu yupo up to date sana
Usiconfuse na Magorila na Masokwe na MabonoboWamejaa misitu ya Congo hawa Mkuu, wenzao walipoamua kupambana na Savana land Arusha wao wakakimbilia Congo, hadi leo wanasumbua
Situmii nguvu yeyote Chief, I just present fact, kama unaweza kupingana nayo, you are welcome, And my fact is AWAMU YA 5 ILIKUWA NI AWAMU YA UOVU (Inaweza kuwa hypothesis pia ambayo mtu anaweza kuprove or not na akapata Masters or PhD)Nguvu unayotumia inakutambulisha
Uovu upi ambao ulikuwa mgeni kwako katika awamu hiyo?Situmii nguvu yeyote Chief, I just present fact, kama unaweza kupingana nayo, you are welcome, And my fact is AWAMU YA 5 ILIKUWA NI AWAMU YA UOVU (Inaweza kuwa hypothesis pia ambayo mtu anaweza kuprove or not na akapata Masters or PhD)
Wewe WENDA umetoka sayari ya jupta, wengine ni mkataba wetu na Mungu ongea fact bila upendeleo au itikadi za dini ,siasa ,ukabila, so Kama umevamia kambi bila kujua kaa pembeni vinginevyo utakipata unachota pita hapa live jf ,sinaga mchezo na watu wepesi ,jibu hoja tutaenda sawa , nakuonya sio ombi ni lazima nasemaMnapigania demokrasia ambayo hamuiishi..
Kichwa panzi
Mbunge kutandikwa risasi mchana kweupe (Haijawahi kutokea ndani ya TZ) na hakuna juhudi zozote zilizofanyika ili kukamatwa waliohusikaUovu upi ambao ulikuwa mgeni kwako katika awamu hiyo?
Kipimo chako cha uovu ndio hicho?Mbunge kutandikwa risasi mchana kweupe (Haijawahi kutokea ndani ya TZ) na hakuna juhudi zozote zilizofanyika ili kukamatwa waliohusika
Mbunge kutandikwa risasi mchana kweupe (Haijawahi kutokea ndani ya TZ) na hakuna juhudi zozote zilizofanyika ili kukamatwa waliohusika