iparamasa
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 13,438
- 14,916
Mhhh!!!!@lizaboni mpe kadi mpya huyuKUPOTELEWA NA CARD YA CHAMA:
Ndugu zangu wapendwa naomba kuleta taarifa hii kwenu
Mnamo tarehe 16/04/2017 nikitoka Fery kwenye shughuli zangu za hapa Kazi tu nilipoteza porch yangu kwenye daladala za Gongo la mboto fery
Ndani ya ile porch hapakuwa na chochote zaid ya kitambaa changu cha jasho na kadi yangu ya chama cha Mapinduzi nilioipata mkoani Tabora wilaya ya Uyui katika ofisi za chama nimekuwa nayo Leo mwaka wa saba kwa yeyote alieikota naomba tuwasliane kabla ya 2020
Nitashukuru Mimi mpendwa wenu
Mwana Maheraa-