BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,006
Dr ZWAZWA na UPUUZI wake! Mpeleke kwako huyo kama kakutosha.
KWANZA......Alituambia Mwingereza Alijenga Reli ya Kaliuwa Mpanda na CCM walishaiiuwa haifanyi kazi tena, Lakini Ukweli ni Kwamba Reli ile inafanya Kazi na Train inakwenda Mpanda kila siku😂😂😂....