Polepole: Uhamiaji fuatilieni uraia, kuna baadhi ya watu si wenzetu!

Attachments

  • Screenshot_20201018-103832.png
    Screenshot_20201018-103832.png
    20.1 KB · Views: 2
  • Screenshot_20201018-103832.png
    Screenshot_20201018-103832.png
    20.1 KB · Views: 2
  • Screenshot_20201018-103832.png
    Screenshot_20201018-103832.png
    20.1 KB · Views: 2
Komredi Polepole wa CCM ameitaka idara ya uhamiaji kufuatilia uraia wa watu wote kwani kuna baadhi siyo wenzetu.

Chanzo: Eatv

My take; Nadhani ni wale viongozi wa dini

Maendeleo hayana vyama!
Na hapo bado ma fisiemu yameacha kupumulia pua saiz yana pumulia mi,kundru nyani wale
 
"Watu wakikosa sera, wanahamia kwenye mambo ya kijinga km uraia, ukabila, udini, ukanda, nk ili kupata legitimacy huko" - Mwalimu JK Nyerere.
 
Komredi Polepole wa CCM ameitaka idara ya uhamiaji kufuatilia uraia wa watu wote kwani kuna baadhi siyo wenzetu.

Chanzo: Eatv

My take; Nadhani ni wale viongozi wa dini

Maendeleo hayana vyama!
Endelea kumharibia m.kiti tu,wewe shauri yako,miongoni mwa Mambo yanayowarudisha nyuma ni pamoja na kushindwa kutenda haki kupitia eneo Hilo la kuhoji uraia wawale mnaofikiri ni hatari kwa maslahi yenu.
 
Endelea kumharibia m.kiti tu,wewe shauri yako,miongoni mwa Mambo yanayowarudisha nyuma ni pamoja na kushindwa kutenda haki kupitia eneo Hilo la kuhoji uraia wawale mnaofikiri ni hatari kwa maslahi yenu.
Wewe ni raia bwashee?
 
Na Ndugai ni raia wa India? Maana na yeye alikaa Apollo Zaidi ya miezi 3 kwa gharama ya ujenzi wa hospitali ya Wilaya.!
Lissu risasi mmempiga nyie, kaenda nje ya nchi kwa matibabu tena kwa hela za wenye HERI, wala hakuwa na mpango hata wa kwenda Zambia kabla hajapigwa risasi, mtu kaenda kutibiwa mmemgeuza uràia.
Mwamzoni nilikuwa namsema vibaya Polepole kwa maneno yake mabovu yasiyo na mantiki, lakini kwa jinsi anavyoungwa mkono na CCM wenzake anapoongea utumbo kama huu, naanza kuamini Polepole anawakilisha akili za wanaCCM wote ndivyo zilivyo.
Bwashee Lissu alishaukana uraia wa Tanzania kwa sasa yeye ni Mbelgiji Dunia nzima inajua ngoja Uchaguzi tumtie kabali
 
Na Ndugai ni raia wa India? Maana na yeye alikaa Apollo Zaidi ya miezi 3 kwa gharama ya ujenzi wa hospitali ya Wilaya.!
Lissu risasi mmempiga nyie, kaenda nje ya nchi kwa matibabu tena kwa hela za wenye HERI, wala hakuwa na mpango hata wa kwenda Zambia kabla hajapigwa risasi, mtu kaenda kutibiwa mmemgeuza uràia.
Mwamzoni nilikuwa namsema vibaya Polepole kwa maneno yake mabovu yasiyo na mantiki, lakini kwa jinsi anavyoungwa mkono na CCM wenzake anapoongea utumbo kama huu, naanza kuamini Polepole anawakilisha akili za wanaCCM wote ndivyo zilivyo.
Kwani Polepole ametaja mtu?
 
Kaishiwa hoja!Badala ya kuzungumzia mafanikio ya ndege,flyovers na stiegler gorge anakubali kuishiwa hoja?
 
Back
Top Bottom