Komredi Polepole wa CCM ameitaka idara ya uhamiaji kufuatilia uraia wa watu wote kwani kuna baadhi siyo wenzetu.
Chanzo: Eatv
My take; Nadhani ni wale viongozi wa dini
Maendeleo hayana vyama!
Hayo ni majibu yako ya kinaziAcha uzushi wewe! Uraia hautolewi kama njugu na Lissu anazijua sheria za Nchi yetu ndani nje kuweza kufanya upuuzi kama huo.
Hahaha huyo polepole akili hana tena ni zwazwa mkubwa ...shekhe ponda anawafuasi wengi sana toka katika madhehebu ya watu wa mfanano na yeye kiimani ..wakisema kwamba wamkamate katika kipindi hiki ..itakuwa ni sawa na kuwaambia hao waislam wasimpigie kura magufuli na chama chakeUzoefu kazini ni muhimu sana japo tunadharau
Jaribio lolote la kumdhalilisha Sheikh wetu Sheikh Ponda Issa Ponda kwa tuhuma za kubumba ni kujeruhi Chama chetu
Akina Pole pole wameshindwa maeneo mengi ya ki strategy matokeo yake tunayaona wote
Kuuliza au kutumia weledi wa waliokutangulia sio udhaifu, kumuacha Januari anacheza pool table beach kule kidimbwi dakika hizi za majeruhi ni matumizi mabaya ya resource za chama
Kutafuta choko choko na kina Sheikh Ponda nyakati hizi ni ushahidi wa nakisi ya uzoefu wa Siasa
Znz huko chombo kinapigwa dhoruba baharini, badala ya kuita mabaharia wakongwe kutuvusha wanakomaa na notes za darasani over confidence ya kibwege
Hayo ni majibu yako ya kinazi
Ngoja tusikie wenye hilo jukumu wanasemaje.
Mbona unaonyesha woga sana mkuu,Kwa vile wewe ni mnazi wa kumkumbatia huyo anayejiita MWENDAWAZIMU basi unadhani ni kila mtu. Acha kuandika UZUSHI!
Mbona unaonyesha woga sana mkuu,
Acha watu wafanye kazi yao.
Swala hapa ni kuwa Lisu kadanganya Uraia wake ama La.Acha kuandika ujinga. Kama huna la maana la kuandika pita kimya kimya.
Swala hapa ni kuwa Lisu kadanganya Uraia wake ama La.
Uhamiaji watatupa majibu, hilo hutaamua wewe au Chadema fanatics bali ni Uhamiaji.
Ikifahamka kadanganya anakatwa tu as simple as that.
Kuwa mvumilivu utapata majibu yote muda ukifika, tusianze kujadili jambo kabla hatujafika hapo kwanza.Kwani wangapi mliowahi kuwambambikia kesi kwamba si raia kwa sababu tu wameikosoa Serikali na hakuna hata mmoja aliyefukuzwa Nchini? Tia akili kichwani wewe acha KUKURUPUKA na uzushi wenu.
Kuwa mvumilivu utapata majibu yote muda ukifika, tusianze kujadili jambo kabla hatujafika hapo kwanza.
Mbona wapo wanaoambiwa wafuate taratibu za Uhamiaji mkuu, au kukaa huko nje kunakufanya upitwe na mengi ya hapa nyumbani.Jibu swali acha kurukaruka! Katika wote mliowabambikia kesi FAKE za kutokuwa raia kupitia uhamiaji wangapi wamefukuzwa Nchini?
Mbona wapo wanaoambiwa wafuate taratibu za Uhamiaji mkuu, au kukaa huko nje kunakufanya upitwe na mengi ya hapa nyumbani.
Itakuwa hujaelewa majibu yangu,Hivi kwanini unapata shida kulielewa swali langu? Sikuuliza kuhusu kufuata au kutofuata taratibu za uhamiaji. Soma tena swali langu halafu ulijibu kama limekuzidi kimo sema hivyo. Aliyekudanganya mimi naishi nje ni nani?
Kufuata taratibu za uhamiaji maana yake ni kwa mhusika kuhakikisha ama anapata permit au anaomba Uraia.
Sasa wapo walioomba na uraia wao ni wa aina hiyo.
Duuh we jamaa mgumu Sana kuelewa,Nimeuliza kuhusu waliofunguliwa kesi kwamba si raia hakuna hata mmoja ambaye amefukuzwa Nchini wala Serikali kutamka hadharani kwamba wamegunduliwa kwamba si raia na hivyo kufukuzwa Nchini au kuambiwa wafuate taratibu za uhamiaji. Je, ni wangapi waliobambikiwa kesi FAKE za kutokuwa raia wamefukuzwa Nchini?
Itakuwa hujaelewa majibu yangu,
Pohamba bro ni wewee? Ndio maana siku Hizi kimya sana na ukicomment unachagua maneno. Siyo kusifisifia kila kitu kama zamaniUzoefu kazini ni muhimu sana japo tunadharau
Jaribio lolote la kumdhalilisha Sheikh wetu Sheikh Ponda Issa Ponda kwa tuhuma za kubumba ni kujeruhi Chama chetu
Akina Pole pole wameshindwa maeneo mengi ya ki strategy matokeo yake tunayaona wote
Kuuliza au kutumia weledi wa waliokutangulia sio udhaifu, kumuacha Januari anacheza pool table beach kule kidimbwi dakika hizi za majeruhi ni matumizi mabaya ya resource za chama
Kutafuta choko choko na kina Sheikh Ponda nyakati hizi ni ushahidi wa nakisi ya uzoefu wa Siasa
Znz huko chombo kinapigwa dhoruba baharini, badala ya kuita mabaharia wakongwe kutuvusha wanakomaa na notes za darasani, hii ni over confidence ya kibwege