Ila Kaka sisi wasukuma, tunapata shida sana kutamuka hio avatar yako!!Chochea moto Lissu, wanaanza kuwehuka
Mgombe wenu ana vyeti vya uraia?Hii itafika hadi kule Rombo!
Kwani Lisu SI NI raia was BelgiumKauli kama hizo haziji hivihivi kuna jambo halipo sawa huko viunga vya Lumumba, the last kick of dying horse.
Yeye mwenyewe MnyarwandaKomredi Polepole wa CCM ameitaka idara ya uhamiaji kufuatilia uraia wa watu wote kwani kuna baadhi siyo wenzetu.
Chanzo: Eatv
My take; Nadhani ni wale viongozi wa dini
Maendeleo hayana vyama!
Dalili za kufilisika kisiasa. Mwenyezi Mungu atunusuru na wanasiasa MUFLIS☹️☹️☹️☹️Komredi Polepole wa CCM ameitaka idara ya uhamiaji kufuatilia uraia wa watu wote kwani kuna baadhi siyo wenzetu.
Chanzo: Eatv
My take; Nadhani ni wale viongozi wa dini
Maendeleo hayana vyama!
Kuna mti ni kiongozi mkubwa Lakini aliingia nchini akiwa na umri wa miaka 3 wazazi wa nchi jirani, huyo naye anatakiwa kuchunguzwa na Uhamiaji?Komredi Polepole wa CCM ameitaka idara ya uhamiaji kufuatilia uraia wa watu wote kwani kuna baadhi siyo wenzetu.
Chanzo: Eatv
My take; Nadhani ni wale viongozi wa dini
Maendeleo hayana vyama!
CCM wamebananishwa kwenye kona ya kitanda hadi wanaomba msaada uhamiaji.
Tundu Lissu kawashika MATAGA kunako dadeki!Komredi Polepole wa CCM ameitaka idara ya uhamiaji kufuatilia uraia wa watu wote kwani kuna baadhi siyo wenzetu.
Chanzo: Eatv
My take; Nadhani ni wale viongozi wa dini
Maendeleo hayana vyama!
Isijekuwa tu Lisu alichukua Uraia wa Ubelgiji,
Kama kadanganya tume !!!