johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,902
- 141,845
Kupitia kipindi cha Papo kwa Papo kinachorushwa na Channel ten Katibu wa uenezi wa CCM ndugu Polepole amesema chama chake kimetoa msaada wa kisheria kwa mama mjane wa eneo la Mabibo aliyeporwa eneo lake.
Polepole amesema chama chake kimeshaongea na Jaji mkuu ili kuhakikisha kesi mbalimbali zitakazoibuliwa kupitia kipindi cha Utekelezwaji wa Ilani zinashughulikiwa kwa haraka.
Kipindi kinaendelea...
Chanzo: Channel ten
My take; Sasa CCM inashughulika na maendeleo ya watu.
Polepole amesema chama chake kimeshaongea na Jaji mkuu ili kuhakikisha kesi mbalimbali zitakazoibuliwa kupitia kipindi cha Utekelezwaji wa Ilani zinashughulikiwa kwa haraka.
Kipindi kinaendelea...
Chanzo: Channel ten
My take; Sasa CCM inashughulika na maendeleo ya watu.