Chikuvi2021
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 456
- 515
Mbunge anayewakilisha Jimbo la Ikulu,anayepingana na kiti,ni Uhuru wa kusema au hajui yuko pale bungeni kutetea masilahi /kumwakilisha nani.Hataki kuwa Chawa wa Mamlaka ya uteuzi. Hapa kazi-Kazi iendelee.