johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,902
- 141,845
Humphrey Polepole amemaliza kuhojiwa na kamati ya maadili ya CCM.
Polepole amewaambia waandishi wa habari kuwa hicho ni kikao cha chama na taarifa rasmi kuhusu yaliyojiri kikaoni zitatolewa na chama chenyewe kwa utaratibu wake.
Chanzo: Ayo tv
Jumaa kareem!
Polepole amewaambia waandishi wa habari kuwa hicho ni kikao cha chama na taarifa rasmi kuhusu yaliyojiri kikaoni zitatolewa na chama chenyewe kwa utaratibu wake.
Chanzo: Ayo tv
Jumaa kareem!