DALA
JF-Expert Member
- Aug 24, 2009
- 2,212
- 4,515
Dr Bashiru Ally yuko kimya
Taslima yuko kimya
Mpogolo yuko kimya
Ni Polepole peke yake anayezunguka kwenye media ilhali alishastaafu na kuzawadiwa ubunge
Polepole umesahau nini kule ofisini kwa Shaka?
Maendeleo hayana vyama!
Ni ule utoto na hasira ya kupoteza cheo kilichomfanya ajihisi yupo juu ya sheria.
Madaraka matamu aisee, alalfu kibaya zaidi wengi hawakutarajia Mwendakuzimu angekufa. Sasa hivi watu ambao waliwadharau ndo wameshika usikani jambo ambalo hakutarajia.
Kina Bashiru ni wabobezi, anaelewa zama zimebadilika ameamua kula alichopewa huku amefunga mdomo. Sasa huyu ngedere unayemzungumzia anahisi atapambana na serikali. Hawezi na hatofika mbali ya 2025. Bungeni harudi.