Ngungenge
JF-Expert Member
- Jun 11, 2016
- 2,863
- 3,190
Unafiki kuwa uko na Rais halafu unasema Rais amezungukwa na wahuni. Hatukusikia Sabaya na Makonda ambao ni wahuni haswaaa ukitoa kauli. Unadharau mamlaka ya Rais au nini. unataka kumpangia Rais achague nani na nani amuache.
Unataka kumpangia Rais afanye nini na nini asifanye. Tatizi unaona kwa vile ulikua mwenezi basi Samia hawezi kukufanya kitu.
Uhuni wenu wa kuua na kuteka mnataka na sisi tuufanye au sio.
Hivi unaona unayohaki ya kuongea lolote kutoka kichwani kwako. Sasa nakukumbusha CCM na serikali haijashindwa kukunyoosha ukanyooka.
Endelea kufanya ziara za media kuponda kazi zinazifanywa na Rais Samia hakika utapata unacho kitaka.
Endelea kudhani kuwa unao ukubwa ulionao. Nakupa Onyo wewe na wanao kutuma.
#KAZI IENDELEE
Unataka kumpangia Rais afanye nini na nini asifanye. Tatizi unaona kwa vile ulikua mwenezi basi Samia hawezi kukufanya kitu.
Uhuni wenu wa kuua na kuteka mnataka na sisi tuufanye au sio.
Hivi unaona unayohaki ya kuongea lolote kutoka kichwani kwako. Sasa nakukumbusha CCM na serikali haijashindwa kukunyoosha ukanyooka.
Endelea kufanya ziara za media kuponda kazi zinazifanywa na Rais Samia hakika utapata unacho kitaka.
Endelea kudhani kuwa unao ukubwa ulionao. Nakupa Onyo wewe na wanao kutuma.
#KAZI IENDELEE