Ethos
JF-Expert Member
- Aug 1, 2015
- 2,294
- 2,057
... Leo nimemsikiliza Kwa makini sana Ndugu Polepole katika kipindi cha asubuhi maarufu kama 360 cha Clouds tv
... Kwanza nampongeza Kwa kujibu maswali mengi vizuri sana na kwa facts kama kawaida yake
.. Kuhusu Chama cha mapinduzi kumiliki Mali nyingi kuliko vingine nimemuelewa baada ya kusema Mali hizo mlizitafuta na mna haki ya kuwa nazo... Hii ni changamoto Kwa vyama vingine
... Lilipokuja swala la katiba mpya amelikwepa kabisa. Ameulizwa mara zaidi ya mbili na watazamaji Lakini amelikwepa na kuishia kututaka tuangalie muelekeo wa Rais Magufuli ili tupate hitimisho la msimamo wake..
.. Polepole kwanini usiseme tu wazi kuwa tunahitaji katiba mpya ili na nchi ipate mapinduzi ya kimfumo kama mnavyofanya ndani ya Chama chenu? Unaogopa nini? Itikadi na Uenezi ndio inasababisha uvae gamba lingine?
... Kwanza nampongeza Kwa kujibu maswali mengi vizuri sana na kwa facts kama kawaida yake
.. Kuhusu Chama cha mapinduzi kumiliki Mali nyingi kuliko vingine nimemuelewa baada ya kusema Mali hizo mlizitafuta na mna haki ya kuwa nazo... Hii ni changamoto Kwa vyama vingine
... Lilipokuja swala la katiba mpya amelikwepa kabisa. Ameulizwa mara zaidi ya mbili na watazamaji Lakini amelikwepa na kuishia kututaka tuangalie muelekeo wa Rais Magufuli ili tupate hitimisho la msimamo wake..
.. Polepole kwanini usiseme tu wazi kuwa tunahitaji katiba mpya ili na nchi ipate mapinduzi ya kimfumo kama mnavyofanya ndani ya Chama chenu? Unaogopa nini? Itikadi na Uenezi ndio inasababisha uvae gamba lingine?