William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,657
- 2,252
Swala la Gwajima NI wazi kuwa CCM hawana la kufanya zaidi ya kuwatisha tu. Kwani wakiwavua uanachama wataamsha hoja ya akina mdee.
Acha Wawavimbie tu
Acha Wawavimbie tu
Nyuzi ya kindezi sana hii ,utakuwa "KE" weweSwala la Gwajima NI wazi kuwa CCM hawana la kufanya zaidi ya kuwatisha tu. Kwani wakiwavua uanachama wataamsha hoja ya akina mdee.
Acha Wawavimbie tu
Ndani ya CCM hakuna mwenye ubavu wa kumkoromea mwenzake. Wote wapo kiharamu. Mwiaho wa siku wote wanaamua kuacha yaishe😅😅Swala la Gwajima NI wazi kuwa CCM hawana la kufanya zaidi ya kuwatisha tu. Kwani wakiwavua uanachama wataamsha hoja ya akina mdee.
Acha Wawavimbie tu
Nyuzi iko poa. Ndani ya ccm hakuna mwenye uwezo wa kusema "Su' kwa mwenzake maana hakuna aliyeko hapo kihalali.Nyuzi ya kindezi sana hii ,utakuwa "KE" wewe