Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hehehheheh...Polepole akiongea huwa nahisi Tanzania sio mahala sahihi pa kuishi
Polepole Leo anaongelea HAKI? Dunia simama nishuke.Licha ya Rais Samia Suluhu Hassan kutoa msimamo wake kuhusu usimamizi wa rasilimali za Taifa, lakini hilo litatokana na nidhamu na uadilifu wa viongozi wote...
tehShhh
Humphrey Polepole wacha kupiga domo
Kama jina lake lilivyoPole pole nenda taratibu
HahhahPolepole Leo anaongelea HAKI? Dunia simama nishuke.
Anaweka mambo sawa.Anajaribu kumlegeza mama magoti....
HehehMzeee wa viiiieeeeetiiiiii
Baada ya kusikia mama ana macho malegevu tayari sasa kaamua Ku deal na magoti.Anajaribu kumlegeza mama magoti....
Amuache Sasha, nae sasa ana jambo lake!Shhh
Humphrey Polepole wacha kupiga domo
Tundu Lissu, Lema na Chadema kwa ujumla mkitaka kuuwa legacy ya hayati rais Magufuli kwa watanzania itabidi ufanye yafuatayo.Shhh
Humphrey Polepole wacha kupiga domo
Pimbi kweli huyoLicha ya Rais Samia Suluhu Hassan kutoa msimamo wake kuhusu usimamizi wa rasilimali za Taifa, lakini hilo litatokana na nidhamu na uadilifu wa viongozi wote.
Hayo yameelezwa bungeni leo Ijumaa ya Aprili 9, 2021 na Mbunge wa Kuteuliwa na Rais, Humphrey Polepole, akisisitiza kuwa utawala bora na uwajibikaji kwa kupiga vita rushwa na ufisadi unatakiwa kutekelezwa na viongozi wote ili kumsaidia Rais Samia.
Polepole, ambaye pia ni Katibu wa NEC ya CC, Itikadi na Uenezi, alikuwa akichangia
mjadala wa kupitisha mpango wa tatu wa maendeleo wa kitaifa kwa kipindi cha miaka mitano kuanzia 2021/22 - 2025/26.
“Katika utawala bora na uwajibikaji ningeweza kusema wakati wa msiba wa Hayati Magufuli (Dk John) wale watu walikuwa wanalia sio kwamba Rais Magufuli ametangulia mbele ya haki, mimi nasema hapana wale watu walikuwa wanalia kwa sababu Rais Magufuli na Mama Samia Suluhu Hassan walikuwa na jambo lao na wananchi wale na kulia kwao walikuwa wanaonyesha yale waliyo wahaahidi yataendelea hata kama Magufuli hayupo,” amesema Polepole.
Amesema rai yake kwa Serikali, Rais Samia ameonyesha msimamo kwamba, kazi lazima iendelea na usimamizi mzuri wa raslimali za Taifa unatokana na nidhamu ya viongozi wote hivyo wanapaswa kumsaidia.
“Vita dhidi ya rushwa, ufisadi, matumizi mabaya rasilimali za umma, mambo hayo hatutakiwi kurudi nyuma asilani… kinyume na hapo Watanzania wale waliokuwa wanalia watakuwa wanalia kwa baadhi ya viongozi wetu humu muda sio mrefu kwa sababu watasema tumewageuka. “Rai yangu tumsaidie Rais Samia ili ile ndoto waliyotuletea yeye na Mzee Magufuli na tukawaamini, tukawapenda ikatimie chini ya uongozi wake,” amesema Polepole
Pia, amewataka viongozi wasisahau kuzingatia haki za watu hasa wanyonge kwani, hilo ni muhimu kuzingatiwa muda wote.
Ili afanye nini huyu pole pole balaa huyu!Anajaribu kumlegeza mama magoti....