britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
katika mahojihano Pole pole amesema haya
Chama cha mapinduzi kina utaratibu wa kupokea wanachama ambapo tunajadili kwenye vikao vya chama , na huyo mtu wako unayemsema hana sifa za kuwa mwanachama wa chama chetu,,
kaulizwa kuhusu mwembe kusemwa semwa mtandaoni
anajibu kuna watakatwa wakijaribu 2020
sikiliza
Chama cha mapinduzi kina utaratibu wa kupokea wanachama ambapo tunajadili kwenye vikao vya chama , na huyo mtu wako unayemsema hana sifa za kuwa mwanachama wa chama chetu,,
kaulizwa kuhusu mwembe kusemwa semwa mtandaoni
anajibu kuna watakatwa wakijaribu 2020
sikiliza