Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,191
"...inashangaza sana,mfano tuna group letu la Viongozi ajabu mmoja wetu bila aibu amethubutu kabisa kusema yeye ni mmoja wa wahuni waliobakizwa na awamu ya 5."
"...INASIKITISHA sana!"
"...hata mimi naona aibu ya kwanini yule aliachiwa akafikia ngazi ya uongozi aliyonayo." Chanzo Dar 24.
Polepole.
"...INASIKITISHA sana!"
"...hata mimi naona aibu ya kwanini yule aliachiwa akafikia ngazi ya uongozi aliyonayo." Chanzo Dar 24.
Polepole.