Polepole, huna ubavu wa kisiasa, you are overrating yourself!

Babe la mji

JF-Expert Member
Dec 14, 2019
983
2,051
Kama ntakua sahihi Kwa takilibani miaka miwili au nitatu iliyopita CCM ilibadilisha baadhi ya kanunu za uchaguzi ndani ya chama lengo likiwa ni kumuepusha JPM na upinzani wa akina Benard Membe,Kuwa ni malufuku kuchukua fomu ya kugomba kuteuliwa na chama ili hatimae kugombea urais wa jamhuri ikiwa tu kama Rais aliepo hajamaliza miaka kumi ya uongozi .

Sasa swali langu lipo kama ufuatavyo,kwa kuwa Rais aliepo madarakani kikatiba analuhusiwa kugombea mwaka 2025 Yani muhula mmoja na vilevile kanuni za chama zinakataza asipingwe je hizi kanuni zitaheshimiwa? Na kama ni hivo he tutegemee Mama Samia Suluhu kuipepelusha bendera ya CCM kama mgombea wake 2025.

Asanteni.
 
Kama ntakua sahihi Kwa takilibani miaka miwili au nitatu iliyopita CCM ilibadilisha baadhi ya kanunu za uchaguzi ndani ya chama lengo likiwa ni kumuepusha JPM na upinzani wa akina Benard Membe...
Wewe Ni bure kabisa. Umeandika Nini Sasa. You are on my list of rubbishes to be blocked!
 
Kama ntakua sahihi Kwa takilibani miaka miwili au nitatu iliyopita CCM ilibadilisha baadhi ya kanunu za uchaguzi ndani ya chama lengo likiwa ni kumuepusha JPM na upinzani wa akina Benard Membe,Kuwa ni malufuku kuchukua fomu ya kugomba kuteuliwa na chama ili hatimae kugombea urais wa jamhuri ikiwa tu kama Rais aliepo hajamaliza miaka kumi ya uongozi .

Sasa swali langu lipo kama ufuatavyo,kwa kuwa Rais aliepo madarakani kikatiba analuhusiwa kugombea mwaka 2025 Yani muhula mmoja na vilevile kanuni za chama zinakataza asipingwe je hizi kanuni zitaheshimiwa? Na kama ni hivo he tutegemee Mama Samia Suluhu kuipepelusha bendera ya CCM kama mgombea wake 2025.
Asanteni.

Sent using Jamii Forums mobile app
Pambaneni wenyewe kwa wenyewe sisi hayatuhusu hayo
 
Kama ntakua sahihi Kwa takilibani miaka miwili au nitatu iliyopita CCM ilibadilisha baadhi ya kanunu za uchaguzi ndani ya chama lengo likiwa ni kumuepusha JPM na upinzani wa akina Benard Membe,Kuwa ni malufuku kuchukua fomu ya kugomba kuteuliwa na chama ili hatimae kugombea urais wa jamhuri ikiwa tu kama Rais aliepo hajamaliza miaka kumi ya uongozi .

Sasa swali langu lipo kama ufuatavyo,kwa kuwa Rais aliepo madarakani kikatiba analuhusiwa kugombea mwaka 2025 Yani muhula mmoja na vilevile kanuni za chama zinakataza asipingwe je hizi kanuni zitaheshimiwa? Na kama ni hivo he tutegemee Mama Samia Suluhu kuipepelusha bendera ya CCM kama mgombea wake 2025.
Asanteni.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umetoroka kutoka kwenye magereza za rwanda chini ya mahakama za Gachacha?
 
Kama ntakua sahihi Kwa takilibani miaka miwili au nitatu iliyopita CCM ilibadilisha baadhi ya kanunu za uchaguzi ndani ya chama lengo likiwa ni kumuepusha JPM na upinzani wa akina Benard Membe,Kuwa ni malufuku kuchukua fomu ya kugomba kuteuliwa na chama ili hatimae kugombea urais wa jamhuri ikiwa tu kama Rais aliepo hajamaliza miaka kumi ya uongozi .

Sasa swali langu lipo kama ufuatavyo,kwa kuwa Rais aliepo madarakani kikatiba analuhusiwa kugombea mwaka 2025 Yani muhula mmoja na vilevile kanuni za chama zinakataza asipingwe je hizi kanuni zitaheshimiwa? Na kama ni hivo he tutegemee Mama Samia Suluhu kuipepelusha bendera ya CCM kama mgombea wake 2025.
Asanteni.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu imebidi niutafute huu uzi,
Kichwa chake ni literal plagiarism!
 
Kama ntakua sahihi Kwa takilibani miaka miwili au nitatu iliyopita CCM ilibadilisha baadhi ya kanunu za uchaguzi ndani ya chama lengo likiwa ni kumuepusha JPM na upinzani wa akina Benard Membe,Kuwa ni malufuku kuchukua fomu ya kugomba kuteuliwa na chama ili hatimae kugombea urais wa jamhuri ikiwa tu kama Rais aliepo hajamaliza miaka kumi ya uongozi .

Sasa swali langu lipo kama ufuatavyo,kwa kuwa Rais aliepo madarakani kikatiba analuhusiwa kugombea mwaka 2025 Yani muhula mmoja na vilevile kanuni za chama zinakataza asipingwe je hizi kanuni zitaheshimiwa? Na kama ni hivo he tutegemee Mama Samia Suluhu kuipepelusha bendera ya CCM kama mgombea wake 2025.
Asanteni.

Sent using Jamii Forums mobile app
Polepole anawapa shida sana ila muacheni anatumia haki yake kikatiba na wapo wafuasi wake wanaomfuatilia.
Wewe umemtaja Polepole halafu content yako ina mauzauza mengine kabisa
 
Kama ntakua sahihi Kwa takilibani miaka miwili au nitatu iliyopita CCM ilibadilisha baadhi ya kanunu za uchaguzi ndani ya chama lengo likiwa ni kumuepusha JPM na upinzani wa akina Benard Membe,Kuwa ni malufuku kuchukua fomu ya kugomba kuteuliwa na chama ili hatimae kugombea urais wa jamhuri ikiwa tu kama Rais aliepo hajamaliza miaka kumi ya uongozi .

Sasa swali langu lipo kama ufuatavyo,kwa kuwa Rais aliepo madarakani kikatiba analuhusiwa kugombea mwaka 2025 Yani muhula mmoja na vilevile kanuni za chama zinakataza asipingwe je hizi kanuni zitaheshimiwa? Na kama ni hivo he tutegemee Mama Samia Suluhu kuipepelusha bendera ya CCM kama mgombea wake 2025.
Asanteni.

Sent using Jamii Forums mobile app
MBONA UNAWEWESEKA MAPEMAA. TULIA MVUA ZINYESHE TUJUE PANAPOVUJAAA. POLE POLE NDOO SHUJAA TULIEBAKI NAYE
 
Kama ntakua sahihi Kwa takilibani miaka miwili au nitatu iliyopita CCM ilibadilisha baadhi ya kanunu za uchaguzi ndani ya chama lengo likiwa ni kumuepusha JPM na upinzani wa akina Benard Membe,Kuwa ni malufuku kuchukua fomu ya kugomba kuteuliwa na chama ili hatimae kugombea urais wa jamhuri ikiwa tu kama Rais aliepo hajamaliza miaka kumi ya uongozi .

Sasa swali langu lipo kama ufuatavyo,kwa kuwa Rais aliepo madarakani kikatiba analuhusiwa kugombea mwaka 2025 Yani muhula mmoja na vilevile kanuni za chama zinakataza asipingwe je hizi kanuni zitaheshimiwa? Na kama ni hivo he tutegemee Mama Samia Suluhu kuipepelusha bendera ya CCM kama mgombea wake 2025.
Asanteni.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna wakumzuia Samia 2025,kanuni hizohizo zinatumika,yaani magufuli kukosa Mungu kumchukua alikuwa anaenda kutengeneza mazingira hawe Rais wa maisha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom