Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 9,878
- 19,794
Na vile wameanza kumwomba akanywe nao kahawa saa mbili usiku. Jamani!!!Huyu jamaa polepole ana kitu ni vile anapuuziwa tu kama wapuzi wengine
Na vile wameanza kumwomba akanywe nao kahawa saa mbili usiku. Jamani!!!Huyu jamaa polepole ana kitu ni vile anapuuziwa tu kama wapuzi wengine
Afadhali ungesema mambo ya uchaguzi periodic wa Rais yafutwe kabisa tuwe kama China--president for life. Wabunge wapungue hadi 150 tu. Mawaziri wawe 20. Wakuu wa mikoa na wilaya waondoke zao. Makatibu wakuu wateuliwe kwa sifa za uzoefu wa kazi na taaluma.Kuwa Amiri Jeshi Mkuu si kuogopwa. Bali ni heshima tu. Mie nadhani hii ya makamu kuwa Rais ili kuondoa sintofahamu. Makamu wa Rais ashike madaraka ya urais kwa kipindi cha miezi kadhaa kuelekea uchaguzi wa Rais. Iwapo Rais atakuwa amefariki...
Umeenda deep sana.Kuwa Amiri Jeshi Mkuu si kuogopwa. Bali ni heshima tu. Mie nadhani hii ya makamu kuwa Rais ili kuondoa sintofahamu. Makamu wa Rais ashike madaraka ya urais kwa kipindi cha miezi kadhaa kuelekea uchaguzi wa Rais. Iwapo Rais atakuwa amefariki...
Umeenda deep sana.
Nimewaza ingetokea awamu ya Nne kipindi cha 2 kama ilivyotokea march 2021 Yule makamu angeshika kijiti? Hatakuongea tu ilikuwa shida...
Mambo ya awamu ya ngapi it doesn't real matter... Cha msingi ni yale yanayoendeleaMama SSH ni Rais wa awamu ya sita.
Awamu inaanza pale kiongozi anapokula kiapo cha kuwa Rais wa nchi...
Exactly polepole anachopigania anakijuwa na amekuwa mwiba kwao Memba alijaribu kumtaja taja alimpa jibu moja tu kapotelea porini bulembo tangu ajibiwe mpaka leo kimya tusimdharau polepole anajuwa mambo mengi ya watu wabaya na wazuri anawajuwa ndo maana anapata mapingamiza mengi sna lakini tunaompinga wengi wetu tuna mahaba na viongozi fulani ila ukweli hatuujuwiHuyu ni kiongozi aliyepikwa na kupikika chini ya uongozi imara na madhubuti wa JPM. Haihitaji akili nyingi kugundua kuwa serikali iliyopo ni dhaifu na imepoteza mwelekeo. ukiwa kama kiongozi uliyepikwa na kupikika chini ya JPM hauwezi kukaa kimya
Awamu Ni mpaka uchaguzi ufanyikeMbona hili liko wazi kabisa ,halihitaji hata tochi,awamu Ni mtu na Wala so miaka Wala vipindi,so hii Ni serikali ya awamu ya sita
Kwani katiba ya zamani inasemajeAwamu Ni mpaka uchaguzi ufanyike
Iyo tafsiri umeitoa wapi? Imeandikwa kwenye Sheria gani?Awamu Ni mpaka uchaguzi ufanyike
Mbona Bi mkubwa anasema hii ni awamu ya 6?Anasema eti muhuni wa kwanza ni yeyote anayesema hii ni serikali ya awamu ya 6.
Mwalimu PolepoleKatika SHULE ya Uongozi ya Humphrey Polepole kuna Siku alisema Watu wanapoteshwa kuambiwa hii ni AWAMU ya 6
Leo ndio nimeamini hii ni AWAMU 5 kwa sababu Hata ILANI inayotumika ni ya Awamu ya 5 Waliyoinadi Hayati MAGUFULI kama RAIS na Mama SAMIA kama Makamu wa RAIS AWAMU ni Miaka 10 (Vipindi 2 vya Miaka 5) Hivyo RAIS Samia ATAITIMISHA Utawala wa AWAMU ya 5 Wa MIAKA 10 ifikapo 2025 ili Kupisha UCHAGUZI MKUU wa Kumpata RAIS wa AWAMU ya 6 Na ILANI YAKE.
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app