#COVID19 Polepole: Hatuwezi kuzuia watalii kwa sababu ya Corona, tutapambana nayo kama tunavyopambana na Upinzani. Nchi inategemea watalii

Tumsamehe Ndo uwezo wake wa kufikiri ulipo ishia..

Time is a drug. Too much of it kills you
 
Umesahau enzi zile Dk slaa alivyokuwa anasimama jukwaani? Umesahau Dk slaa alisema nchi haitawalika mpaka mkuu wakati huo akanywea? Umesahau Dk slaa alivyoimarisha chama mpaka wabunge wakafika zaidi ya 40. Au unajifanya hujui.
Baada ya Slaa kuondoka,wabunge wako wangapi leo wa upinzani?Hiyo mikutano ya kisiasa mmezuia mwaka wa 5 huu,unataka cheche zao waoneshe wapi?Maana hata Slaa huo mkutano haukufanyika Karatu bali Daresalaam!
 
Baada ya Slaa kuondoka,wabunge wako wangapi leo wa upinzani?Hiyo mikutano ya kisiasa mmezuia mwaka wa 5 huu,unataka cheche zao waoneshe wapi?Maana hata Slaa huo mkutano haukufanyika Karatu bali Daresalaam!
Safari hata wangeruhusu ingekuwa ni kupoteza muda wa kufanya maendeleo.Hamna cha maana mgetueleza. Mfano kama vituo vya afya mia tatu na kitu vimejengwa ndani ya miaka minne mtatueleza nini? Hata kama hatuna chama.
 
Safari hata wangeruhusu ingekuwa ni kupoteza muda wa kufanya maendeleo.Hamna cha maana mgetueleza. Mfano kama vituo vya afya mia tatu na kitu vimejengwa ndani ya miaka minne mtatueleza nini? Hata kama hatuna chama.
1.Hoja ya idadi ya wabunge uliyoileta mwenyewe umekubali kushindwa na umesalimu amri na kuhamisha magoli!

2.Unamzuia mtu kufanya mikutano halafu unamwambia hata nikikuruhusu huna cha kuongea maana kila kitu nimetekeleza!Aisee,si uwaache halafu uone watawashawishi wananchi kwa sera zipi?
 
1.Hoja ya idadi ya wabunge uliyoileta mwenyewe umekubali kushindwa na umesalimu amri na kuhamisha magoli!

2.Unamzuia mtu kufanya mikutano halafu unamwambia hata nikikuruhusu huna cha kuongea maana kila kitu nimetekeleza!Aisee,si uwaache halafu uone watawashawishi wananchi kwa sera zipi?
Sijakuelewa kuhusu wabunge naona wote wanarudi kuunga juhudi. Au idadi ipo kama enzi za Dk slaa?
 
Tukifikia ile hali ya Italy hakuna mtalii atakanyaga Bongo. Hapo ndio utakapoona nzi wa kijani hawana akili.

Akili yangu inanituma kwamba mipaka haifungwi ili watu waumwe tupate gawio kutoka WHO then wagawane. Kama kweli kuna watu wamepanga hivyo. I swear, corona itawatafuna na hayo magonjwa yao mengine kama pressure, diabetes, kisukari, kiharusi n.k. wataishia kaburini na hizo hela wasizipate.

Ngoja tuone.
 
Akihojiwa clouds Humphrey polepole amesema wapinzani Ni sawa Corona.

Kauli hii ya kiongozi kijana inaweza tafsiriwa Kama kauli ya kiongozi aliyepoteza dira na ambaye kwake maisha ya watu wasio ccm si kitu bali binadamu sahihi ni mwanaccm.

Niwaomba viongoz wa chama tawala kuchukua hatua kwake na pia vyombo vya dola kumshughulikia kwani kumwacha aendelee na tabia hii kutasababisha wapinzani nao kutumia kauli Kama hizi kujibu mapigo na hivyo kusababisha mgawanyiko kwenye taifa.

Tukumbuke ishu ya MENDE kwa wenzetu...

**********
Amesema ukizuia Watalii kuingia Nchini kwa mwezi mmoja kutokana na #coronavirus italeta shida kiuchumi, hivyo ni kuomba Mungu ugonjwa huu uondoke. #COVID19 ni sawa na wapinzani Nchini

Katibu huyo wa Itikadi na Uenezi wa CCM, amesema "Tuna vituo Nchi nzima ambavyo vimetengwa kwa ajili ya kuwahudumia waathirika wa ugonjwa wa virusi vya hivyo."

Kuhusu CCM kununua Wapinzani amesema "Si kweli kuwa CCM inatoa fedha kununua Wanachama wa upinzani bali inabidi wapinzani watazame jinsi wanavyoharibikiwa wenyewe ndani kwa ndani"

"Kuna mwanachama wa Mbowe anaitwa Paulina, aliondoka kwenye Chama kwasababu alikuwa anatakiwa kimahusiano na viongozi wake hivyo akaamua kuhama ili kuokoa ndoa yake lakini alivyohama wapinzani wakatafuta kisingizo kuwa amenunuliwa"

Ameongeza, "Chama cha Freeman Mbowe wanaiitana Bwana au Kamanda wao sio ndugu. Katika chama chetu huwa natumia sana neno ndugu na siyo Mheshimiwa kwa kwasababu sisi si kitu bila ya watu waliotupa dhamana"

Aidha, amesema "Hii tume ya Uchaguzi ni huru kabisa kama si huru mbona Halima Mdee na Joseph Mbilinyi walishinda? Mtu pekee anayeweza kuzungumzia kuhusu tume ya Uchaguzi ni Umma na siyo Vyama Vya Siasa."

"Tume ya utumishi wa umma ndiyo inachakata majina 5 ya Mwenyekiti wa tume ya Taifa ya uchaguzi na kumpelekea Rais ili ateue jina moja"

"Freeman Mbowe anataka tufanye maridhiano lakini sisi na wao hatufikirii pamoja kwenye kile wanachohitaji wananchi hadi sasa"

"Tangu nimekuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM sijawahi kufanya mkutano wa hadhara.
Sisi kama CCM huwa hatufanyi mikutano ya hadhara kwenye majimbo yasiyoongozwa na wanachama wetu, mfano Mbeya ni Jimbo la Joseph Mbilinyi yeye huwa anafanya mikutano lakini akifanya anazungumzia jela kubaya"

"Godbless Lema hajawahi kutembelea miradi ya kimaendeleo Arusha Mjini na akifanya mikutano ya hadhara hazungumzii vitu hivyo bali yeye anazungumza kuhusu Jela tu. Kila tunachokifanya wanasema ni kibaya na sisi hatukatai kushauriwa kwasababu siyo maroboti lakini tangu tumeanza kupewa ushauri hatujawahi kupewa ushauri wa maana."

Kutokufahamu dharura ya Corona na kuendekeza siasa uchwara namna hii ni jambo la aibu sana.

Kwa maana nyingine njaa ndiyo iliyotuacha kuacha Corona kuingia. Njaa hiyo hiyo ndiyo unaowafanya waheshimiwa hawa kutokuona umuhimu wa kuudhibiti ugonjwa huu.

Wekeni akiwa ya maneno. Hatutakubali upuuzi utuletee misiba kwa kuendekeza njaa zenu.
 
Hili Polepole linaongea pumba tu.

Hata wakiruhusu watalii kuingia haitasaidia kitu kama hao watalii hawaji.
Watu wengi hawasafiri sasa kwa sababu ya tahadhari ya ugonjwa.
Wadau wa utalii wanasema bookings nyingi za watalii alikuwa wanakuja zimekuwa cancelled.
Nchi zinatoa watalii wengi zimeanza kwenda kwenye total lockdown. US kwa mfano ndio inatoa watalii wengi kuja Tanzania lakini leo jimbo lake la California lime-go into total lockdown.
 
Uwe unafanya utafiti kabla ya kuandika hoja!Mpaka sasa wabunge wa CDM ni 60+ !
Nafkiri hatujaelewna,mimi nazungumzia kabla chama chako hakijatoa KUB miaka ya nyuma wakati Cuf wako ngangari mpaka Dk akaja kuleta mabadiliko hadi mkapata wabunge wengi
 
Hiki kizee mbona kina akili mbovu sana! Kweli nimeamini ukitaka kuwa mwana ccm ni lazima akili yako timamu uiache uvae ya utaahira.
 
MPAKA HAPO MMOJA WA VIONGOZI WA CCM ATAKAPOKUWA MUHANGA WA COVID-19 NDIO WATAJUA KUWA MARADHI HAYA HAYACHAGUI CCM AU WAPINZANI!!! MNAFANYA MZAHA KANA VILE HAMUONI WATU WANVYOPUKUTIKA ULAYA NA MAREKANI, NYIE ETI MNASEMA WATALII LAZIMA WAJE!! RWANDA NI NCHI NDOGO KWETU LAKINI ANGALIA HATUA WALIZOCHUKUA KUJIHAMI; KWANI WAO HAWAFAIDIKI NA WATALII?
 
Back
Top Bottom