Baada ya Slaa kuondoka,wabunge wako wangapi leo wa upinzani?Hiyo mikutano ya kisiasa mmezuia mwaka wa 5 huu,unataka cheche zao waoneshe wapi?Maana hata Slaa huo mkutano haukufanyika Karatu bali Daresalaam!Umesahau enzi zile Dk slaa alivyokuwa anasimama jukwaani? Umesahau Dk slaa alisema nchi haitawalika mpaka mkuu wakati huo akanywea? Umesahau Dk slaa alivyoimarisha chama mpaka wabunge wakafika zaidi ya 40. Au unajifanya hujui.
Lakini ni msemaji wa CCM na kwa vile CCM imekausha basi ni tamko LA chama.
Safari hata wangeruhusu ingekuwa ni kupoteza muda wa kufanya maendeleo.Hamna cha maana mgetueleza. Mfano kama vituo vya afya mia tatu na kitu vimejengwa ndani ya miaka minne mtatueleza nini? Hata kama hatuna chama.Baada ya Slaa kuondoka,wabunge wako wangapi leo wa upinzani?Hiyo mikutano ya kisiasa mmezuia mwaka wa 5 huu,unataka cheche zao waoneshe wapi?Maana hata Slaa huo mkutano haukufanyika Karatu bali Daresalaam!
1.Hoja ya idadi ya wabunge uliyoileta mwenyewe umekubali kushindwa na umesalimu amri na kuhamisha magoli!Safari hata wangeruhusu ingekuwa ni kupoteza muda wa kufanya maendeleo.Hamna cha maana mgetueleza. Mfano kama vituo vya afya mia tatu na kitu vimejengwa ndani ya miaka minne mtatueleza nini? Hata kama hatuna chama.
Sijakuelewa kuhusu wabunge naona wote wanarudi kuunga juhudi. Au idadi ipo kama enzi za Dk slaa?1.Hoja ya idadi ya wabunge uliyoileta mwenyewe umekubali kushindwa na umesalimu amri na kuhamisha magoli!
2.Unamzuia mtu kufanya mikutano halafu unamwambia hata nikikuruhusu huna cha kuongea maana kila kitu nimetekeleza!Aisee,si uwaache halafu uone watawashawishi wananchi kwa sera zipi?
Uwe unafanya utafiti kabla ya kuandika hoja!Mpaka sasa wabunge wa CDM ni 60+ !Sijakuelewa kuhusu wabunge naona wote wanarudi kuunga juhudi. Au idadi ipo kama enzi za Dk slaa?
Akihojiwa clouds Humphrey polepole amesema wapinzani Ni sawa Corona.
Kauli hii ya kiongozi kijana inaweza tafsiriwa Kama kauli ya kiongozi aliyepoteza dira na ambaye kwake maisha ya watu wasio ccm si kitu bali binadamu sahihi ni mwanaccm.
Niwaomba viongoz wa chama tawala kuchukua hatua kwake na pia vyombo vya dola kumshughulikia kwani kumwacha aendelee na tabia hii kutasababisha wapinzani nao kutumia kauli Kama hizi kujibu mapigo na hivyo kusababisha mgawanyiko kwenye taifa.
Tukumbuke ishu ya MENDE kwa wenzetu...
**********
Amesema ukizuia Watalii kuingia Nchini kwa mwezi mmoja kutokana na #coronavirus italeta shida kiuchumi, hivyo ni kuomba Mungu ugonjwa huu uondoke. #COVID19 ni sawa na wapinzani Nchini
Katibu huyo wa Itikadi na Uenezi wa CCM, amesema "Tuna vituo Nchi nzima ambavyo vimetengwa kwa ajili ya kuwahudumia waathirika wa ugonjwa wa virusi vya hivyo."
Kuhusu CCM kununua Wapinzani amesema "Si kweli kuwa CCM inatoa fedha kununua Wanachama wa upinzani bali inabidi wapinzani watazame jinsi wanavyoharibikiwa wenyewe ndani kwa ndani"
"Kuna mwanachama wa Mbowe anaitwa Paulina, aliondoka kwenye Chama kwasababu alikuwa anatakiwa kimahusiano na viongozi wake hivyo akaamua kuhama ili kuokoa ndoa yake lakini alivyohama wapinzani wakatafuta kisingizo kuwa amenunuliwa"
Ameongeza, "Chama cha Freeman Mbowe wanaiitana Bwana au Kamanda wao sio ndugu. Katika chama chetu huwa natumia sana neno ndugu na siyo Mheshimiwa kwa kwasababu sisi si kitu bila ya watu waliotupa dhamana"
Aidha, amesema "Hii tume ya Uchaguzi ni huru kabisa kama si huru mbona Halima Mdee na Joseph Mbilinyi walishinda? Mtu pekee anayeweza kuzungumzia kuhusu tume ya Uchaguzi ni Umma na siyo Vyama Vya Siasa."
"Tume ya utumishi wa umma ndiyo inachakata majina 5 ya Mwenyekiti wa tume ya Taifa ya uchaguzi na kumpelekea Rais ili ateue jina moja"
"Freeman Mbowe anataka tufanye maridhiano lakini sisi na wao hatufikirii pamoja kwenye kile wanachohitaji wananchi hadi sasa"
"Tangu nimekuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM sijawahi kufanya mkutano wa hadhara.
Sisi kama CCM huwa hatufanyi mikutano ya hadhara kwenye majimbo yasiyoongozwa na wanachama wetu, mfano Mbeya ni Jimbo la Joseph Mbilinyi yeye huwa anafanya mikutano lakini akifanya anazungumzia jela kubaya"
"Godbless Lema hajawahi kutembelea miradi ya kimaendeleo Arusha Mjini na akifanya mikutano ya hadhara hazungumzii vitu hivyo bali yeye anazungumza kuhusu Jela tu. Kila tunachokifanya wanasema ni kibaya na sisi hatukatai kushauriwa kwasababu siyo maroboti lakini tangu tumeanza kupewa ushauri hatujawahi kupewa ushauri wa maana."
Unapoteza muda nduguSerously.
Mungu atawapa anguko baya hawa jamaa
Evil actions turns you into a devil.Kwahiyo anakazia kuwa wapinzani wauwawe au?
Nafkiri hatujaelewna,mimi nazungumzia kabla chama chako hakijatoa KUB miaka ya nyuma wakati Cuf wako ngangari mpaka Dk akaja kuleta mabadiliko hadi mkapata wabunge wengiUwe unafanya utafiti kabla ya kuandika hoja!Mpaka sasa wabunge wa CDM ni 60+ !
Mbona huyo polepole wenu hana lugha ya staha ?Jamaa yangu kuwa lugha ya staha.
Wana ccm ni watu wa hovyo sana.Kwahiyo anakazia kuwa wapinzani wauwawe au?
Wetu? Pamoja na kuwa sio wetu hawezi kutumia lugha kama uliyotumia.Mbona huyo polepole wenu hana lugha ya staha ?